Mbona upo nearly 15%?
Kuna watu walisema reli haijengwi
Ila magu ni kiboko aiseeView attachment 1160463View attachment 1160464View attachment 1160465View attachment 1160466View attachment 1160467
722km zinajengwa kwa wakati mmoja heheheh pigo takatifu 😆😆😆😆Sgr dume inapiga vitu mabinti wawili kw mpigo round za kuhesabu kila siku...
Labda kama kuna mombasa nyingine😆😆😆😆😆👇👇👇👇
Hio in old town msee, a protected town, zmeshikana na new town hapoLabda kama kuna mombasa nyingine😆😆😆😆😆👇👇👇👇
View attachment 1160510
Hio in old town msee, a protected town, zmeshikana na new town hapo
Dar es Salaam yote hiyo wanajiita "biggest city in East Africa" hakuna Google Street view kabisa. So much "pride" for DES kwamba hii Mombasa ndogo imewashinda digitally.Labda kama kuna mombasa nyingine😆😆😆😆😆👇👇👇👇
View attachment 1160510
Wewe tatizo lako umezoea kukariri 😆😆 yani kuwepo kwa google street ni umeshinda digital 😆😆😆😆 ndio maana njaa hua haiwaachi salamaDar es Salaam yote hiyo wanajiita "biggest city in East Africa" hakuna Google Street view kabisa. So much "pride" for DES kwamba hii Mombasa ndogo imewashinda digitally.
Si sasa nyie ndio mwajiona sana kila siku mnataka kuipiku Kenya ,kila mleta mada wa Tz ni kuitakia Kenya mabaya ili mjione mnashinda? Wacha unafiki wewe.Wewe tatizo lako umezoea kukariri 😆😆 yani kuwepo kwa google street ni umeshinda digital 😆😆😆😆 ndio maana njaa hua haiwaachi salama
Na hili sio jambo geni kwa mombasa
Yani kwa tanzania unaeza sikia ndani ya miaka 10 lakini kwa mombasa pale likoni ni matukio ya kawaida sanaso unafurahia unasahau watu 300 wali drown Mwanza lake victoria.Punda wewe usifurahie watu wakipata ajali
Si sasa nyie ndio mwajiona sana kila siku mnataka kuipiku Kenya ,kila mleta mada wa Tz ni kuitakia Kenya mabaya ili mjione mnashinda? Wacha unafiki wewe.
lake victoria ya side yenu imekua na 4 major accidents na imeclaim more than 1500 lives (let them R.I.P) MOMBASA imekua na one major accident.NUGU.KWANZA YA 1996 ILIUA WATU 894 (LET them R.I.P) kifo haina mpaka.Yani kwa tanzania unaeza sikia ndani ya miaka 10 lakini kwa mombasa pale likoni ni matukio ya kawaida sana
TZ was richer than kenya in 70s and 80s but now kenya is double Tzs economy and the gap is growing further with Tz growth expected to be 4% while Kenya 6% (IMF)Kuipiku kenya mara ngapi hvi kenya kuna nn cha maana mulipo pata uhuru mulijitenga kujenga nchi yenu muna nn cha maana munaeza kujivunia???😆😆😆 tanzania ilipopata uhuru iliangalia nchi zingine za africa na kuwapa uhuru na imeanza maendeleo within 13yrs time lakini imefanya wonders mpaka dunia inashangaa huoni wivu wewe
Tanzania ilijiwekeza sana kusaidia nchi za africa baada ya uhuru na maendeleo yameanza within 13yrs my friend kasome historia ndio utaelewa nyinyi mlipopata uhuru mukajitenga pekeeni na kuanza kufanya maendeleo lakini cha kuskitisha leo hii tukiwauliza ni maendeleo gani nyie mumefanya ndani ya miaka 50 utacheka😆😆😆😆😆TZ was richer than kenya in 70s and 80s but now kenya is double Tzs economy and the gap is growing further with Tz growth expected to be 4% while Kenya 6% (IMF)
lake victoria ya side yenu imekua na 4 major accidents na imeclaim more than 1500 lives (let them R.I.P) MOMBASA imekua na one major accident.NUGU.KWANZA YA 1996 ILIUA WATU 894 (LET them R.I.P) kifo haina mpaka.View attachment 1160564
IMF iliomba msamaha kwa kuweka ile report na wamekiri inamapungufu mengi ndugu tanzania economy inakua kwa 7.1% na kenya ni 5% endelea kujipa matumaini😆😆TZ was richer than kenya in 70s and 80s but now kenya is double Tzs economy and the gap is growing further with Tz growth expected to be 4% while Kenya 6% (IMF)