Eti google...bwahaha...kwanza vile vya tanga horo horo na tanga mombasa vimechakaa kinyama...we utamdanganya naniWewe mbukinya naona umeamua kwenda google kutafuta msaada
Kwetu huku bongo hiace zimebaki kuwa history yaani nyie huwa mnakaa nyuma yetu always
Uzi ni wa tanzania bara vs kenya...km mngelikuwa mnataka kuchanganya mpka zenji...Battle ni kenya vs tanzania
Si kenya vs tanganyika
Unapoizungumzia tanzania ni tanganyika na zanzibar
Ukiizungumzia tanzania huwezi kui exclude zanzibar labda tu uwe hukuwahi kwenda shule
Umeelewa mbukinya
Komora analifahamu tunaomba utujuze 😂Hili jengo gani NDINDA???View attachment 1139293
Mikocheni boss ..hizo ni nyumba za polisiHili jengo gani NDINDA???View attachment 1139293
Hili jengo gani NDINDA???View attachment 1139293
Wapi wewe, mbona nakupakuaga mara kwa mara tu.Duh!!yani mpka una urafiki na hao jamaa santa sana...
Lkn km ni mambele mbna jamaa wanajisema tu...km hujawai kwenda hko au hata kupata nafasi ya kujumuika hao jamaa utayaona mageni...bt kw wanaowajua tabia zao mbna hawashtuki..
Labda hku kwetu...mi ukiniambia hvo hku kwetu(afrika) kwnza unakula kibao,mtama kisha maelezo badae ..unanipa issue hzo nikusaidieje
Massachusett, hata hii pori pia ni Nairobi
Massachusett, hata hii pori pia ni Nairobi
on the contrary, Mwenzako niliyemtaja ndio wivu imemfika kooni. Kuna picha moja ya Nairobi ililetwa hapa inayoonyesha miti kila upande akawa mwepesi sana kusemakwamba Nairobi ni mzuri na hakuna kilichoko ndani. Ndio maana nikalinganisha na hiyo picha ya Dar inayoonyesha sehemu kubwa kuwa na miti na nikaamua kumuuliza Kama Dar pia ni msitu
Naona wivu imekupanda unatamani kupasaku. Pole, meza piriton ulaleNairobi dense forest
Bado ni pori tu hilo
Hivi unajua vitu kama hivi ndo vinawafanya wakenya wawe na chuki na Tz [emoji23][emoji23][emoji23]walizoea janja janja sana, safari hii mtapata tabu sanaHakuna kitu kutoka nchini asante uncle magu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]