Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo ni idea zako za kujiconsole. Niliwahi kuwa captain wa debating team mashuhuri middle school, high school na my first year of college. Nina uzoefu wa kuargue na binadamu wa aina zote ikiwemo wale wanaojitia ukichaa. Nipo hapa, give it your best shot but I gotta warn you, huwezi kuukimbia mkono wangu
Mbna walia tena mzee baba....au imeingia bahali pake
 
Usiku mwema to all my fellow comrades and nocturnal mafisis (kunyans)
98f3243ed8b35626c88d61595542e281.jpg
20181202_165238.jpeg
8105452061_3216768446_b.jpg
46057404101_76913dfe27_b.jpg
adc95a9b04d068727efed9e240749f63.jpg
d0e4620de3679925c1db642c30e8d9d9.jpg
Di2gJlNXsAEE2dq.jpg
Do0LnFnX0AAY0MQ.jpg
DrQc1j9WsAAExth.jpg
DrzDtzlW4AAiidX.jpg
 
Hta ushoga pia ni technology...unaeza ukaukumbatia na kujivunia pia
ushoga umeingiaje katika maongezi haya? au ni topic unayotaka kudiscuss. Unajua kuna kitu kimoja nilijifunza nilivyokuwa na rafiki yangu aliyekuwa in the closet. Sikuwahi kufahamu kuhusu his sexuality lakini kila wakati alikuwa anabring up the lgbtq topic. Kila wakati hata kama topic tunayozungumzia haiendani. Niligundua pale alipocome out to everyone kwani lengo lake ni kufahamu watu watamfikiriaje watakapofahamu sexuality yake. Usijali kama wewe ni shoga tulia tu na siri yako kwani upo kwenye nchi ambayo watu hawako tolerant towards people like you.
 
ushoga umeingiaje katika maongezi haya? au ni topic unayotaka kudiscuss. Unajua kuna kitu kimoja nilijifunza nilivyokuwa na rafiki yangu aliyekuwa in the closet. Sikuwahi kufahamu kuhusu his sexuality lakini kila wakati alikuwa anabring up the lgbtq topic. Kila wakati hata kama topic tunayozungumzia haiendani. Niligundua pale alipocome out to everyone kwani lengo lake ni kufahamu watu watamfikiriaje watakapofahamu sexuality yake. Usijali kama wewe ni shoga tulia tu na siri yako kwani upo kwenye nchi ambayo watu hawako tolerant towards people like you.
Duh!!yani mpka una urafiki na hao jamaa santa sana...

Lkn km ni mambele mbna jamaa wanajisema tu...km hujawai kwenda hko au hata kupata nafasi ya kujumuika hao jamaa utayaona mageni...bt kw wanaowajua tabia zao mbna hawashtuki..

Labda hku kwetu...mi ukiniambia hvo hku kwetu(afrika) kwnza unakula kibao,mtama kisha maelezo badae ..unanipa issue hzo nikusaidieje
 
Duh!!yani mpka una urafiki na hao jamaa santa sana...

Lkn km ni mambele mbna jamaa wanajisema tu...km hujawai kwenda hko au hata kupata nafasi ya kujumuika hao jamaa utayaona mageni...bt kw wanaowajua tabia zao mbna hawashtuki..

Labda hku kwetu...mi ukiniambia hvo hku kwetu(afrika) kwnza unakula kibao,mtama kisha maelezo badae ..unanipa issue hzo nikusaidieje
hiyo dp yakoinanieleza kuwa wewe huipenda mombasa sana na najua huko wapo wengi mno ndugu zetu. Yawezekana huwa ma kwa mara unakula mtama ukiwa huko, not my problem really.
 
Back
Top Bottom