Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bado hamtoshi mboga. This is our freedom airline.
FB_IMG_1561307336554.jpeg
FB_IMG_1561307316604.jpeg
FB_IMG_1561307344003.jpeg
FB_IMG_1561307249121.jpeg
FB_IMG_1561307255213.jpeg
FB_IMG_1561307274823.jpeg
FB_IMG_1561307207276.jpeg
FB_IMG_1561307217951.jpeg
FB_IMG_1561307244518.jpeg
 
Tulizana nikupe dawa kwenye bus nimekukanyaga na hapa ntakukanyaga pia miaka 50 kq inamiliki ndege 3
Miaka 50 mnamiliki nini? Sisi tumejipanga my friend hata leo KQ ikafilisika wapo watoto wengi tu ambao watachukua nafasi na kupeperusha bendera.
 
Miaka 50 mnamiliki nini? Sisi tumejipanga my friend hata leo KQ ikafilisika wapo watoto wengi tu ambao watachukua nafasi na kupeperusha bendera.
Mumejipanga kwa kumiliki ndege tatu kq miaka zaidi ya 50😆😆😆😆 sio ikafilisika ishafilisika na sasa inaendesha hasara miaka 7 mfululizo
 
Duh!!!mazee hawa jamaa watupu kinyama walai...wajua mpira kufungwa ni kawaida..lkn mchezo walioucheza leo hawa jamaa...hadi nimeshangaa waliingiaje afcon wajameni..so sad walai
Jamaa anaweka hadi precision airline hajui kama tunaimiliki 41.23%
 
Sio tatizo lakini ni tanzanian owned company una jingine mbona kq share hamusemi hapa inamilikiwa na kina nani???

Miaka 50 ndege tatu tu tafuteni mchawi
Usikwepe mada kw maneno ya vijiweni kaka...tulia kwenye mada....

Ywalia na KQ na wakati hatujai post...ywafikiria akiitaja taja tutasahau mada...bado tumpe batoto badogo ba kwetu bwana....
 
Usikwepe mada kw maneno ya vijiweni kaka...tulia kwenye mada....

Ywalia na KQ na wakati hatujai post...ywafikiria akiitaja taja tutasahau mada...bado tumpe batoto badogo ba kwetu bwana....
Hamuwez post kwasababu munamiliki ndege 3 😆😆😆😆😆 shirika lina miaka 50 linamiliki ndege3 wakat air tanzania imefufuka juzi ina ndege 8 brand new😀😀😀
 
Back
Top Bottom