Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Bado hamtoshi mboga. This is our freedom airline.
Bado hamtoshi mboga. This is our freedom airline.
Miaka 50 mnamiliki nini? Sisi tumejipanga my friend hata leo KQ ikafilisika wapo watoto wengi tu ambao watachukua nafasi na kupeperusha bendera.Tulizana nikupe dawa kwenye bus nimekukanyaga na hapa ntakukanyaga piamiaka 50 kq inamiliki ndege 3
👇👇👇
Mumejipanga kwa kumiliki ndege tatu kq miaka zaidi ya 50😆😆😆😆 sio ikafilisika ishafilisika na sasa inaendesha hasara miaka 7 mfululizoMiaka 50 mnamiliki nini? Sisi tumejipanga my friend hata leo KQ ikafilisika wapo watoto wengi tu ambao watachukua nafasi na kupeperusha bendera.
Duh!!!mazee hawa jamaa watupu kinyama walai...wajua mpira kufungwa ni kawaida..lkn mchezo walioucheza leo hawa jamaa...hadi nimeshangaa waliingiaje afcon wajameni..so sad walaiWaliwalipa waganda ndio wakawawachia ile game ,unaikumbuka?
Heheeeee...sisi tuna count hzo kampuni
Tulia na tukitoka hapa tunaingia kwenye marine sasa nikawakamue mabusha😆😆😆Heheeeee...sisi tuna count hzo kampuni
Kabisa.. Sasa. Magufuli atakujia plots zake zile aliwapeaWaliwalipa waganda ndio wakawawachia ile game ,unaikumbuka?
This is one is owned by our very own KQ ,KQ owns 41.23% sasa hii pia ni yetu.leta nyengine.
Lianzishe twende nalo...Tulia na tukitoka hapa tunaingia kwenye marine sasa nikawakamue mabusha![]()





Precision air KQ iko na share....so hapo umebugiThis is one is owned by our very own KQ ,KQ owns 41.23% sasa hii pia ni yetu.leta nyengine.
Sio tatizo lakini ni tanzanian owned company😆😆😆😆😆 una jingine mbona kq share hamusemi hapa inamilikiwa na kina nani???This is one is owned by our very own KQ ,KQ owns 41.23% sasa hii pia ni yetu.leta nyengine.
Jamaa anaweka hadi precision airline hajui kama tunaimiliki 41.23%Duh!!!mazee hawa jamaa watupu kinyama walai...wajua mpira kufungwa ni kawaida..lkn mchezo walioucheza leo hawa jamaa...hadi nimeshangaa waliingiaje afcon wajameni..so sad walai




Reli ndio usiongee kabisa heri utulizane tu kinachojengwa hapa tanzania itawachukua miaka 50 kuipataLianzishe twende nalo...
Lkn kw reli hatujasahau![]()
Leta ndege yoyote ya precision iliosajiliwa kwa registaration 5Y ukipata yoyote nitag😆😆😆Jamaa anaweka hadi precision airline hajui kama tunaimiliki 41.23%![]()
Usikwepe mada kw maneno ya vijiweni kaka...tulia kwenye mada....Sio tatizo lakini ni tanzanian owned companyuna jingine mbona kq share hamusemi hapa inamilikiwa na kina nani???
Miaka 50 ndege tatu tutafuteni mchawi



Hamuwez post kwasababu munamiliki ndege 3 😆😆😆😆😆 shirika lina miaka 50 linamiliki ndege3 wakat air tanzania imefufuka juzi ina ndege 8 brand new😀😀😀Usikwepe mada kw maneno ya vijiweni kaka...tulia kwenye mada....
Ywalia na KQ na wakati hatujai post...ywafikiria akiitaja taja tutasahau mada...bado tumpe batoto badogo ba kwetu bwana....![]()
Mbna unakataaReli ndio usiongee kabisa heri utulizane tu kinachojengwa hapa tanzania itawachukua miaka 50 kuipata









Hakuna mtu anaogopa madamu tunajenga the modern electric bullet train in africa hapo utasugua gaga mpaka ujio wa yesu😆😆😆Mbna unakataa
Ama waogopa...
Nilianzishe