Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani mi mwnywe nmeshangaa bana....hyo ndo dar to kibaha...kisha kasema ni phase 1 na 2 zote zipo underconstruction
Ukweli ni kuwa hata hizo video ni za kitambo ila katolewa kwa umma May 2019 na ukweli mchungu ni kwamba ujenzi ulisimama pale Kibaha...Hii ingine ni PR. Pesa kwisha wanaongoja wapate mkopo ujenzi uanze Tena.
 
Ukweli ni kuwa hata hizo video ni za kitambo ila katolewa kwa umma May 2019 na ukweli mchungu ni kwamba ujenzi ulisimama pale Kibaha...Hii ingine ni PR. Pesa kwisha wanaongoja wapate mkopo ujenzi uanze Tena.
Video zao ni zile zile...hu update mwezi na tarehe tu
 
Ukweli ni kuwa hata hizo video ni za kitambo ila katolewa kwa umma May 2019 na ukweli mchungu ni kwamba ujenzi ulisimama pale Kibaha...Hii ingine ni PR. Pesa kwisha wanaongoja wapate mkopo ujenzi uanze Tena.

Naomba ufungue uangalie plz mapovu wachiwa mademu😆😆😆😆👇👇👇
Sipendi ukate tamaa👇👇👇

Dar to moro




Moro to singida

 
Naomba ufungue uangalie plz mapovu wachiwa mademu😆😆😆😆👇👇👇
Hamna cha kuangalia pale tuliona Hii si Mara moja hata na ni upuzi tu. Weka picha tufanye reverse search tuwaaumbue 🤔
 
Back
Top Bottom