TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
With mnara juu na je ukitolewa mnara inakuaje????😆😆😆
Hauwezi tolewa
It is part of the building
Bado tuko na uap
With mnara juu na je ukitolewa mnara inakuaje????😆😆😆
With mnara juu of 60meters
Nionyesheshe Hospitali ya Turkana, sio jina au chumba kimoja, onyesha jengo zima. Mlipofanya Ugatuzi, Hospitali zote za iliyokua mikoa mkaita jina la Referal Hospital. Onyesha referal Hospital ya county ya Kwale tuone, hamna kitu, wote wanakwenda Mombasa.Bwahahahaa!!!imekuuma kuona kenya kila county iko na referral hospital...kemu tuletee ya kagera tuione....mbna ugatuzi raha jaman...mpka turkana,mandera,tana river...kabla ugatuzi hzo county zilikuwa nyuma kishenzi...
Bila ya kuisahau lamu,kwale na zngnezo...
Bukoba vp nako
Hauwez tolewa kakwambia nani??Hauwezi tolewa
It is part of the building
Bado tuko na uap
Hauwez tolewa kakwambia nani??
Mm najua zinaeza tolewaNa ww nani amekuambia utatolewa ??????
Kwhyo referral ni mjengo sio vifaa angalau vya kukidhi mahitaji ya wanaotibiwa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nionyesheshe Hospitali ya Turkana, sio jina au chumba kimoja, onyesha jengo zima. Mlipofanya Ugatuzi, Hospitali zote za iliyokua mikoa mkaita jina la Referal Hospital. Onyesha referal Hospital ya county ya Kwale tuone, hamna kitu, wote wanakwenda Mombasa.
Mm najua zinaeza tolewa
Referal Hospital lazima iwe na majengo, vifaa na wafanyakazi wenye SIFA, hii tabia yenu ya kununua CT scan moja na kuipeleka katika Hospital ya mkoa na kuibadilisha jina kuwa referal Hospital, hata huku kwetu ilifanyika, lakini awamu ya Magufuli ilipoingia, hizo hospital zilishishwa daraja.Kwhyo referral ni mjengo sio vifaa angalau vya kukidhi mahitaji ya wanaotibiwa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nani kakwambia county n mkoa...mbna waumia sana kijana....km kwenu vitu hvo vipo sehemu chache tu kubali...Referal Hospital lazima iwe na majengo, vifaa na wafanyakazi wenye SIFA, hii tabia yenu ya kununua CT scan moja na kuipeleka katika Hospital ya mkoa na kuibadilisha jina kuwa referal Hospital, hata huku kwetu ilifanyika, lakini awamu ya Magufuli ilipoingia, hizo hospital zilishishwa daraja.
Tunajenga 744km kwa pamoja phase one and two mbona unawasiwasi sana hakuna chuma cha mchina huku😆😆😆😆Dar to Moro mtafika lini??? Km 200 zinawasumbua.
Wapi Dar to Moro Kwanza juu haijakamilika? Hebu weka Dar to Kibaha tuone Kwanza...naona SGR ikigeuka kuwa Bagamoyo 😂😂Tunajenga 744km kwa pamoja phase one and two mbona unawasiwasi sana hakuna chuma cha mchina huku😆😆😆😆
Utazoea tuDar to Moro mtafika lini??? Km 200 zinawasumbua.
Subutu...akikuletea ni tagWapi Dar to Moro Kwanza juu haijakamilika? Hebu weka Dar to Kibaha tuone Kwanza...naona SGR ikigeuka kuwa Bagamoyo [emoji23][emoji23]
Nishazoea disappointments za Bongo hata Bagamoyo nilijua tu 😂😂Utazoea tu
Si tunajua wamebarikiwa na mdomo, just teasing him.Subutu...akikuletea ni tag