Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

33 floors

31floors britam 👇👇👇👇
BF6D52EA-62C9-4FC9-A8C9-C99AFA91ED1F.jpeg
 
Hawa wasee nawambia kenya kila county iko na referral hospital... wao hupagawa tu daily na wacha hospitali pkeake...kila county iko na town moja au mbili...ama hata zaidi[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1133365View attachment 1133366View attachment 1133367View attachment 1133368View attachment 1133369
Ndio hii umeleta😆😆😆😆😆 narudia swali tena atoker nkenya aniletee hospital kubwa na ya kisasa kama hii yenye 1000beds nje ya nairobi👇👇👇👇
C1C26478-4D14-4C79-B259-21B3F8E9DEEC.png
53383E8E-8DF4-44D0-B0CA-BDDA7CEA2FA9.jpeg
 
Unajua maana ya kuomba...heheheee!!!hakuna siku nyangau ataweza kuomba kitu ambacho anakitolea hela...eti naenda dukani kisha nisema naomba...kwn ni bure...

Wameomba wauziwe sasa niuamuzi wetu kuwauzia au kutowauzia ni
 
Sasa nimejua kwa nini akili zenu hazieleweki. Meshaathirika na manipulations za maneno ya kikoloni, hadi huruma. Ila watu ambao wanawapaga makavu live ni wachina.
Maneno ya mzungu kama scripts vile, akikutamkia yanaanza kumanipulate ubongo wako unaanza kufanya atakalo, jambo jema ni kwamba it does not work on us.
Yaani vichwa vyenu ni sawa na windows huku vyetu kama ubuntu, haturuhusu mzungu atumanipulate kijingajinga. Endeleeni kutuita wajamaa hivyohivyo huku mkiendelea kuwa vulnerable mpaka ifike siku mnajikuta hamjielewi kama nchi ni yenu au la!
verbal diarrhea
 
Back
Top Bottom