Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why then you have Government and private Hospitals, show us any level 4 Private hospital in Kwale or Turkana.
Hakuna kulia lia hapa sote hali mbaya,kama ni mazao huko kaskazini pamba imepotea,kahawa haipo,mkonge kwisha kiufupi kilimo cha biashara kimeuawa!! Kwenu gesi huku kaskazini dhahabu geita,shinyanga yooote inapopatikana umeona imepaendeleza? Tanzanite mererani kapaangalie pameendelea? Rasilimali zooote nchini tumeshindwa kuzitumia maana hatuna mipango makini na wabunge wetu wamekuwa bure kabisa,ukiwaita dhaifu wanakutishia lkn embu waulize imekuwaje kwa rasilimali zooote za taifa?? Shame!!

Kumbe south yenu ni mbaya kuliko our desert North.
 
Back
Top Bottom