ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kazi yenu kudanganywa with wrong figures😆😆😆😆😆😆Hapa itabidi tumeshuka Hadi $99b Kati ya $61b...Tumeipiku Kenya 😋
Yani muna maisha ya maigizo kweli
Kazi yenu kudanganywa with wrong figures😆😆😆😆😆😆Hapa itabidi tumeshuka Hadi $99b Kati ya $61b...Tumeipiku Kenya 😋
Copy paste si mbaya. Nko sure your bachelors haikuwa 100% your work. Copy, Paste EditHizo zote ni copy and paste hao wabunifu walikula hela ya bure tu
Right figures zenyu ni $61b ??😉Kazi yenu kudanganywa with wrong figures😆😆😆😆😆😆
Yani muna maisha ya maigizo kweli
63.4b na yenu ngapi😆😆😆😆Right figures zenyu ni $61b ??😉
Haijafika 63.5b??😅63.4b na yenu ngapi😆😆😆😆
Hatuna ubunifu wakati mijengo zenu zinachorwa na kujengwa na wakenya. Jiangalie!jengo zao almost ni wamecopy n paste hawana wabunifu kabisaa ndiyo maana hata shirika lao la taifa la nyumba lipo local![]()
Hatuna ubunifu wakati mijengo zenu zinachorwa na kujengwa na wakenya. Jiangalie!
Majengo gani yamejengwa na Wakenya?
1970 technologySGR KENYA
View attachment 1106727
which is not available in Tz1970 technology
Majengo yao Ndio wanajengewa, Kila kitu, Chinese wamewajengea kila kitu . Hata Tower zao zote . Bora sisi huku Estim ( Local Company) inajenga Tower zetu wenyewe (Tower za Wa tanzania) PSPF zote, PPF HQ, TPA, Morroco Square, Umoja wa Vijana Etc.
Sasa Architect mwenye Office Dar kuchora TPA Miaka kadhaa iliyopita Eti Ndio Tower zetu zote wametuchorea na kutujengea, Wamejenga nini kwa watu wakati wenyewe wanajengewa. What a loss![]()
Your Dodoma parliament was designed by K&M archplans which is a Kenyan company.Majengo yao Ndio wanajengewa, Kila kitu, Chinese wamewajengea kila kitu . Hata Tower zao zote . Bora sisi huku Estim ( Local Company) inajenga Tower zetu wenyewe (Tower za Wa tanzania) PSPF zote, PPF HQ, TPA, Morroco Square, Umoja wa Vijana Etc.
Sasa Architect mwenye Office Dar kuchora TPA Miaka kadhaa iliyopita Eti Ndio Tower zetu zote wametuchorea na kutujengea, Wamejenga nini kwa watu wakati wenyewe wanajengewa. What a loss![]()