Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu ambacho kinafanya miji ya nchi zilizoendelea kuwa vivutio vikubwa ni kwa sababu wanaongeza thamani wa maeneo waliyonayo. Mfano Paris, ni inland city inapitiwa na mto seine, wakati wa winter hali ya hewa baridi unaweza hata ukakimbia. Lakini vitu kama eiffel tower, the Louvre museum, french cuisine na Notre dame cathedral vinavuta watu zaidi ya milioni 40 kwa mwaka kutembelea Paris na haijalishi hofu ya mashambulio ya kigaidi, watu wanazidi tu kwenda. Lakini jiji kama Dar, Location nzuri, white sand beaches, tropical climate nk, tuna watalii wachache sana. Tubadilike na kuleta thamani katika vitu tulivyonavyo tayari. Kwa mfano tena wa jiji lililokuwa na maendeleo sawa na Dar ni Dubai. Dubai ni jiji lililoko jangwani. Ni mafuta na beach tu ndo vilivyoisaidia Dubai. Wametengeneza vivutio vingi kiasi kwamba Dubai inaipita New York kwa idadi ya watalii kwa mwaka hivi leo wakati miaka kumi iliyopita Dubai ilikuwa hewa tu. We need to change. Sipendi notion ya kuziangalia eti nchi nyingine za kiafrika kuhusu maendeleo eti kisa wao wamefanya na sisi eti tufanye, hapana, tufanye vitu ambavyo waafrika wengine hawafanyi. Kama hakuna jiji Afrika lenye subway, tuwe wa kwanza kuwa na subway, wanasema "work hard till your enemies ask if you are hiring". I believe Tanzania inaelekea huko. We just need people full of great Ideas and Cash to transform this country.
uko sawa wazo konki nadhani wakuu washapitia ila washiishie kupitia tu watekeleze
 
Angalia ule mchoro vizur
We jamaa unapoteaga sana saa zingine
Screenshot from 2019-03-08 04-27-41.png
Screenshot from 2019-03-08 04-29-51.png
Screenshot from 2019-03-08 04-31-40.png
 
Kitu ambacho kinafanya miji ya nchi zilizoendelea kuwa vivutio vikubwa ni kwa sababu wanaongeza thamani wa maeneo waliyonayo. Mfano Paris, ni inland city inapitiwa na mto seine, wakati wa winter hali ya hewa baridi unaweza hata ukakimbia. Lakini vitu kama eiffel tower, the Louvre museum, french cuisine na Notre dame cathedral vinavuta watu zaidi ya milioni 40 kwa mwaka kutembelea Paris na haijalishi hofu ya mashambulio ya kigaidi, watu wanazidi tu kwenda. Lakini jiji kama Dar, Location nzuri, white sand beaches, tropical climate nk, tuna watalii wachache sana. Tubadilike na kuleta thamani katika vitu tulivyonavyo tayari. Kwa mfano tena wa jiji lililokuwa na maendeleo sawa na Dar ni Dubai. Dubai ni jiji lililoko jangwani. Ni mafuta na beach tu ndo vilivyoisaidia Dubai. Wametengeneza vivutio vingi kiasi kwamba Dubai inaipita New York kwa idadi ya watalii kwa mwaka hivi leo wakati miaka kumi iliyopita Dubai ilikuwa hewa tu. We need to change. Sipendi notion ya kuziangalia eti nchi nyingine za kiafrika kuhusu maendeleo eti kisa wao wamefanya na sisi eti tufanye, hapana, tufanye vitu ambavyo waafrika wengine hawafanyi. Kama hakuna jiji Afrika lenye subway, tuwe wa kwanza kuwa na subway, wanasema "work hard till your enemies ask if you are hiring". I believe Tanzania inaelekea huko. We just need people full of great Ideas and Cash to transform this country.
Hilo la bichi kuwa na mchanga mweupe wabongo wengi tunalichukulia poa sana kwasababu tumekua wakiona bichi zina mchanga huo. Ila asikwambie mtu bichi zetu nzuri aisee, nchi nyingine beach zina mawe mawe, mchanga kama kokoto ndogondogo lakini jamaa wanakomaa hivyo hivyo kweye utalii, sisi mchanga mwembamba, laini, mweupe lakini tumezubaa zubaa tuu.

Nilikuwa nawashangaa jamaa zangu flani wanasifia Grand Canyon, nikasema hivi kuna nini hapo zaidi ya bonde na ukame lakini cha kushangaza watalii wanamiminika kila mwaka. Tatizo letu watanzania (kiujumla) tuna hulka za kutokujiamini, hatuthamini vya kwetu, hatujitangazi na kuweka mikakati kama nchi ya kutumia fursa.

Awamu hii imeanza na hilo la kujiamini, kwa kutuonesha wananchi kuwa uwezo wa kufanya mambo makubwa tunao tena kwa fedha zetu, uwezo wa kuwadindishia Barick na wachina kwenye mikataba yao ya kilaghai tunao. Hii wengi wa kizazi chetu tunaweza tusiione ila wale madogo wanaokua sasa watakuja kuwa watu wakujiamini sana na hii itaweza saidia katika kuchangamkia fursa za kiuchumi.

Tutafika tuu.
 
Tanzanian teachers to teach Kiswahili in South Africa

THURSDAY MAY 11 2017

In Summary

President Magufuli revealed this during a joint Press Conference with his South African counterpart, Mr Jacob Zuma, at the State House earlier today.

for more info thecitizen.co.ke

The thug Republic of Kunyans just got a little piece of a cake which was presented to them by a Minister, while the much respected nation which is held with the highest regard by all members of SADC region had already secured her huge piece presented to the Republic by the president of Republic of South Africa.

Happy People!
 
Back
Top Bottom