Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa wale makobe wenzangu leo nazurura tu na kula.



IMG_9910.JPG



IMG_9906.JPG



IMG_9912.JPG



IMG_9914.JPG



IMG_9915.JPG
 


Saivi kwenye tourism industry Tanzania is regarded as low season lakini this year you can't notice the expected outflow ya watalii because it's absolutely viceversa

It's a hightime now to market lake zone and southern circuit tourism destinations.

Naiona 3$ Billion


Tupo Vizuri
Kwa route mpya ya airtanzania ya Dar Iringa naona tayari Ruaha NP inaanza kufunguka pamoja na Kitulo NP. Mbeya kuna Lake Ngozi inabidi serikali ifanye kitu kuipa promo zaidi.
 
Kwa route mpya ya airtanzania ya Dar Iringa naona tayari Ruaha NP inaanza kufunguka pamoja na Kitulo NP. Mbeya kuna Lake Ngozi inabidi serikali ifanye kitu kuipa promo zaidi.
Sana boss ..southern circuit..ina potential ya kuipa Tz more usd 2B kwa mwaka...na 1mil extra tourist ..tuki invest vzuri...Southern circuit ni nzur kwa tourism ..na Horticulture exports..ambazo zinaweza kutuoa ajira nying sana
 
Good progress..ila kiukweli mpka November itakuwa bado ..i think maybe July 2020
Wanaonekana wako polepole! Sijui tatizo nn? Morogoro ndio bado kabisaa! Kuna mtu alisema Mota engil wanajenga kutokea Moro kuja ila sioni kitu!
 
Good progress..ila kiukweli mpka November itakuwa bado ..i think maybe July 2020
Tunawaalika na Mungiki waje waonje Bullet Train. Pia wajue kua Morogoro ina uzuri fulani hivi wa nature utakaokufanya usisinzie.
Mojawapo ni hii kama unaweza kuona ujenzi wa SGR pembeni ya milima ya Moro:
 

Attachments

  • Moro.mp4
    29.8 MB
Back
Top Bottom