ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hivi mbona huwa mnajitia ujinga? Yapi Merkezi ni construction company na inatumia vifaa vyake kufanya testing na hiyo train engine imeandikwa yapi merkezi. I'm sure nilisikia kuwa tanzania ordered trains from Siemens.
Soma maelezo ukielewa nitag👇👇👇
Wanajitoa ufahamu😆😆😆😆Hivi mbona huwa mnajitia ujinga? Yapi Merkezi ni construction company na inatumia vifaa vyake kufanya testing na hiyo train engine imeandikwa yapi merkezi. I'm sure nilisikia kuwa tanzania ordered trains from Siemens.
Ona barabara ya nakuru 😆😆😆👇👇quality kama tu ya Nakuru,but ya mombasa iko poa kuliko hii
View attachment 1091060
View attachment 1091061
View attachment 1091062
View attachment 1091072
View attachment 1091073
Kubaliana na ukweli kwanza👇👇😂kama rwanda, heard they were lying about % ya population living below the poverty line
BagamoyoIkulu ya Dar inapatikana mtaa upi? Mikocheni au oyster bay?.
Mhandisi Uchwara umerudi? Hatuna mda wa kumuelewesha mjinga asietaka kuelewa. Tukuache ujifariji n then utajpata somo tutakapoanza safari rasmi hap novemberJibwa ni nyoko.mbona msitest na bullet maana ndio zitakazotumika?.
Kisa wasteland ni mtaa ndio unataka kulazimisha wards zetu kua mtaa!Mtaa Una maana zaidi ya hio unayoijua ,mtaa unamaanisha streets lakini mtaa pia unamaanisha kijiji au kitongoji kinachopatikana katika mji mkubwa .
Haki Wakenya ni wajinga sijapata kuona, kinachowasaidia ni kuwa hawaonagi aibu mambo yatakapokamilika kama yalivyopangwa
1.3km dual road to nowhere through a big village😱😁😂Picha moja inaridiwa mara tano sehemu ile ile😆😆😆😆😆
Sumbawanga👇👇👇👇👇
View attachment 1091110View attachment 1091111View attachment 1091112
Naona umeanza kulia sasa😆😆😆😆1.3km dual road to nowhere through a big village😱😁😂
View attachment 1091300
kama rwanda, heard they were lying about % ya population living below the poverty line
Population ya Nairobi ni 4M, kati ya hao 60% wanaishi katika slums, ukifanya hesabu unapata ngapi " Slum dwellers"?