Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1090649


1090650


1090651


1090652
 
Haha ati omba omba,kwann msiwarudishe kwao? Au muwape kibarua wakijwamue

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hatunaga tabia za kuwafukuza wafrica wenzetu , maana tuna moyo wa utu,pia twaelewa yale maisha magumu kule kusini na ndio maana twawawacha ili tuzidi kuwapa mapeni angalau pia wakirudi kwao waweze kuishi maisha ya hadhi na pia wainue uchumi wa nchi yao.
 
Hatunaga tabia za kuwafukuza wafrica wenzetu , maana tuna moyo wa utu,pia twaelewa yale maisha magumu kule kusini na ndio maana twawawacha ili tuzidi kuwapa mapeni angalau pia wakirudi kwao waweze kuishi maisha ya hadhi na pia wainue uchumi wa nchi yao.
Wakenya ni moja ya watu wabinafsi, wachoyo na self-centred sijawahi kuona. Kama mnabaguana kikabila na wakenya wenzenu je Waafrika wengine itakuwaje? Fikiri
 
from google maps
View attachment 1090880

fanya hivi, leta ka hii exactly nione
Nilete "hiyo exactly"nini? majengo? unajua mimi sina muda wa kuchukua screenshots za mabati ya nyumba kama wewe? Wakenya hamna kitu kinachoitwa time management. Unatumia muda wako kusscreenshot mabati ya nyumba hahahahahahahahahahhahha mimi ninacheka hapa nilipo we acha tu
 
Nilete "hiyo exactly"nini? majengo? unajua mimi sina muda wa kuchukua screenshots za mabati ya nyumba kama wewe? Wakenya hamna kitu kinachoitwa time management. Unatumia muda wako kusscreenshot mabati ya nyumba hahahahahahahahahahhahha mimi ninacheka hapa nilipo we acha tu
hahahahahaha😂😂😂😂 hakuna barabara za kisasa huko Tz,mabati ni wewe ebu cheki google maps ya estates zenu,kwani hii city ni mzee aje,si afadhali mpake rangi
1090904

1090907
 
Back
Top Bottom