ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,676
- 137,683
Hahahah alikua anapima majiππππsasa hiyo ni expressway au BRT? Tena with your words, you assured me kuwa hadi mna "three phases" haya ziko wapi?
Pesa wameomba bado hawajapewa anakuja kutuambia wanajenga ukimuuliza wapi wanajenga hajuiππππ