Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa hiyo ni expressway au BRT? Tena with your words, you assured me kuwa hadi mna "three phases" haya ziko wapi?
Hahahah alikua anapima maji๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Pesa wameomba bado hawajapewa anakuja kutuambia wanajenga ukimuuliza wapi wanajenga hajui๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Another mess๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† revenue ni 1.9 trillion Na budget wanataka 2.8trillion so wanaenda kukopa almost 1trillion ksh ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ sijui nani atawakopesha safari hiii








Baadhi ya mapovu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡



 
๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
F0815413-66B6-455D-BDB8-3BBE69BC1199.jpeg
F595133B-53CF-4AD7-AFFC-0BF47117A0A8.jpeg
 
City Lodge wamefungua Hotel yao ya kisasa ya hadhi ya 4star yenye vyumba 147...mwaka huu pia Johari Rotana itafungua hotel ya 5 star ya vyumba 256 ...niongezeko la vyumba 403 ndani ya mwaka mmoja
Screenshot_20190501-074728.jpg
 
Nlitegemea Best western Kufungua hotel yao ya vyumba 150+ kwenye Jengo la mzizima towers ila bado halijaisha ..Nssf wamekuwa slow kwenye kumaliza majengo yao ..hata lile la mwanza bado linasua sua
Hawa jamaa wanakera sana, sijui imekuwaje!!!
 
Nlitegemea Best western Kufungua hotel yao ya vyumba 150+ kwenye Jengo la mzizima towers ila bado halijaisha ..Nssf wamekuwa slow kwenye kumaliza majengo yao ..hata lile la mwanza bado linasua sua
ni kweli kabisa yaani mzizima linanyata hatari sijui tatizo nini
 
๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Dodoma baby, ring roads and interchange zimo ndani

 
Back
Top Bottom