Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

niletee ya kwetu inayotoa moshi hapa niione, hiyo ni illustration kuwa treni mlizopurchase ni za kizamani na ni low quality
View attachment 1084036
Hawatamsahau mchina milele kawavisha jongoo. Reli imeishia porini alafu aliwafumba macho akachanganya mkataba SGR na bandari ya Mombasa, majuto ni mjukuu na janja ya mchina ni bandari tu anayotaka
 
Ndoto za kichaa underconstruction wapi???????😂😂😂😂😂 Au munajenga juu ya makaratasi 😅😅
Juu ya makaratasi ni wewe
WufpXIA.jpg
WufpXIA.jpg
t56dXEc.jpg
t56dXEc.jpg
w460lr7.jpg
t56dXEc.jpg
Y14fbNk.jpg
Y14fbNk.jpg
Y14fbNk.jpg
 
Iko na phases tatu so far,first phase dyo inaendelea the other two phases pesa tushapewa from China
mshapewa na china eh? hebu tuletee any source ya kutuambia implementation ya hizo phases na the amount of money mliyopewa na china
 
Back
Top Bottom