Inachekesha unavyolinganisha locomotives za sgr yenu na zetu za kawaidaDesign might be the same but engine ni tofauti kabisa,kwanza hii yetu ikona uwezo was kubeba heavy load than hio yenu
renders na badoHii yetu,BRT and a new expressway under construction
View attachment 1084527
Niliiona hiyo video ila nilifikiri watabadilisha ya zege kwa kuwa hayo yanahimili mzigo mzito kwa muda mrefu. Mataluma ya chuma huwa yana "deform" baada ya muda kutokana na heat/stress.
Niliposema mataluma ya zege nilimaanisha yenye upana wa 1000mm. BTW kuna anayefahamu kama haya mapya ya chuma kama yanatengenezwa bongo?Ili kufanya mabadiliko hayo inabidi ujenge tuta jipya la reli ambapo ni sawa na reli mpya vilevile la zege linatakiwa reli iwe pana zaidi ndio ubora wake mwingine, so ukiweka mataluma ya zege kwenye hiyo nyembamba na tuta lake hilohilo ni sawa na kuchezea resources
Tuta la reli ndio uimara wa reli yenyewe
Wana hali mbaya sana,wanajitutumua tu
wakenya hawana ujanja hapo ndiyo mwisho akili zao zote zimeishia nairobiWakati huo Kenya miradi yote ipo concentrated in Nairobi


outside mazingira wanayoishi ni panya watu tu