Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunapangua moja baada ya lingine...
Mradi wa brt awamu zinazofuata unaambatana na flyovers kadhaa Yaani suala ya flyovers linajikata lenyewe...huu mwaka hautaisha awamu ya tatu itatangazwa alieshinda zabuni...
Awamu zote wamepanga ziishe 2030 awamu 6 ambazo zinacover 90% ya city pop
Financer wa BRT phase 3 and 4 ni world bank na inajulikana nashangaa kwann hawa fast track ujenzi wa awamu zote uende kwa mpigo?....
Kuhusu phase 5 na 6 tutasubiria sana mkuu ..maana financer bado hajajukikana na ni unkikely akwa GOT kwa sasa hiv
 
Financer wa BRT phase 3 and 4 ni world bank na inajulikana nashangaa kwann hawa fast track ujenzi wa awamu zote uende kwa mpigo?....
Kuhusu phase 5 na 6 tutasubiria sana mkuu ..maana financer bado hajajukikana na ni unkikely akwa GOT kwa sasa hiv
Nakumbuka Jafo alisema awamu ya tatu itaanza baada ya awamu ya pili kupatikana mkandarasi maana pesa tayar washapewa
 


Kinyerezi 1 extension 185 Mw itaisha August this tear
Mind you tuna Kinyerezi 1 150Mw na Kinyerzi 2 240 MW tuta achive target yetu ya kuacha kuimport fuel for Eletricity pDn
IMG_20190429_031838.jpg
IMG_20190429_031843.jpg
Screenshot_20190429-032142.jpg
IMG_20190429_031846.jpg
 
Back
Top Bottom