Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Njia nyeupe kwa M7 kuunganisha SGR ya UMEME kupitia Bukoba, kwanza hakuna mto Nile, na bei itakuwa cheaper akijengewa na mturuki kuliko angejengewa na Mchina kupitia Mombasa.

Uganga itapata faida kwa kuunganishwa na reli ktk bandari mbili tofauti, kuliko kuunganishwa na reli reli mbili tofauti katika bandari moja.
 
This year only ..na sio zote
IMG_20190428_093328.jpg
IMG_20190428_093151.jpg
IMG_20190428_093140.jpg
IMG_20190428_093137.jpg
IMG_20190428_093118.jpg
IMG_20190428_093106.jpg
IMG_20190428_093054.jpg
 
Ha ha haaa, hawa jamaa wanachekesha,, mkopo mdogo kama huu ndo wamefunga safari viongozi wote wakuu wa Kitaifa wakiwemo wapinzani kwenda China,,wakati Tz mkopo kama huu makubaliano yangekamilishiwa Ikulu ya magogoni.!
Walifunga sababu ya 8trn,ika bounce.

Kiume hapo walipoona hivyi ilitakiwa waahirishe, lakini kwa sababu lengo ni kwenda kubeba hela wakaamua wasirudi mikono mitupu, sawa naweww uombe mkopo benki wa millioni 10,wakwambie utapewa laki mbili sidhani kama utachukua.
 
Aslo known as homa kwa wakenya, mi nashuhudia tu
Tunapangua moja baada ya lingine...
Mradi wa brt awamu zinazofuata unaambatana na flyovers kadhaa Yaani suala ya flyovers linajikata lenyewe...huu mwaka hautaisha awamu ya tatu itatangazwa alieshinda zabuni...
Awamu zote wamepanga ziishe 2030 awamu 6 ambazo zinacover 90% ya city pop
 
Back
Top Bottom