Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
Yeah, wamehamisha junctions zilizotakiwa kuwa kati wakaziweka chini kuepusha ajali. So wanaopita kati na juu ni kunyooka moja kwa moja.Mbona mchoro umebadilishwa ?
Yeah, wamehamisha junctions zilizotakiwa kuwa kati wakaziweka chini kuepusha ajali. So wanaopita kati na juu ni kunyooka moja kwa moja.Mbona mchoro umebadilishwa ?
So JiKe ulitaka waseme hawataki wakenya wawekeze au? Kama unavyoona tunaimprove chakula na madawa zaidi, usafiri na power, so tutahitaji yeyote kuwekeza. Tofauti ni kwamba wengine wanapambana kuwekeza huku wananchi wanakufa njaa, hamna maji na sasa wanaomba msaada. So we are readywatakao ongoza hizo viwanda ni kina nani kama si sisi, uko na umama,,
Tena watanzania walivyo na akili, wanafungua viwanda mfano China then wanaweka Center ya kusuply bidhaa zao Kariakoo ili tuzipate kwa bei nzuriWatakaongoza kwa vile watanzania hawana viwanda sasa kwa taarifa yako watanzania wanaviwanda mpaka china, unaongea nn kunguni wewe๐๐๐๐๐
Wakenya wenye hasira kali๐๐๐๐
๐๐๐๐ shukran bro๐๐๐Ichoboy wewe ni Lengendari wa kustopisha fitina za mungiki dhidi ya Tanzania. Natamani wote wanaoaccess quora wangeiona Jamii Forum maana quora ndio mojawapo ya sehemu ambayo mungiki wanaichafua TZ
Kubwa la maadui anaanza kuingiwa na kiwewePicha la kutishaView attachment 1081902
hatari sana ni konkiMaendelo ya barabara ya Ubungo Chalinze
View attachment 1081368
View attachment 1081369
View attachment 1081370
Source Muhidin Michuzi
hiyo ni kunguni kabisaOneni hii mbuziView attachment 1081593
Typo, they meant Comoros...Hii ya kwenda Morroco imekaaje?
Mwanangu hadi Nov jamaa wanatusuaAcha kabisa hatari
Hizi ndizo barabara za Tanzania
Mbeya hiyoooo
View attachment 1082330View attachment 1082331View attachment 1082332
Hizi ndizo barabara za Tanzania
Mbeya hiyoooo
View attachment 1082330View attachment 1082331View attachment 1082332
Hahaha ile ndoto ya "kuconnect" na Uganda imeishia ndotoni, lipeni madeni kwanza