Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Hawa jamaa bana, yani hata pesa ya kukarabati reli ya zamani wanakopa?
Hawa jamaa bana, yani hata pesa ya kukarabati reli ya zamani wanakopa?
Hawana wanamadeni mpaka matakoni😆😆😆😆😆Hawa jamaa bana, yani hata pesa ya kukarabati reli ya zamani wanakopa?
Hata meter gauge wamepewa mkopo, hatari sana, pesa zao za kodi zaenda wapi jamani
Hata mimi nashangaa, wameshindwa kuwasomba wale jamaa wanao zurura Uhuru Park na kuwapa masululu na spana kukarabati reli?Hata meter gauge wamepewa mkopo, hatari sasa pesa zao za kodi zaenda wapi jamani
mchina anakupa mkopo, interest juu, na bado anakupa masharti ya kuajiri raia wake kufanya kazi kwenye mradi. Ya nini sasa hiyo, treni wamewapa za 19th century, sgr sio ya umeme na bora hata ingekuwa inaconnect hadi UG, haijafika yaani mi nasema na uzalendo wa rais kujali maslahi ya wananchi wake yanachangia. Magufuli anahakikisha kauwekezaji kokote lazima mtz awepo na hii ni toofauti na majirani zetu, project ifanyike ilimradi tu basiHata mimi nashangaa, wameshindwa kuwasomba wale jamaa wanao zurura Uhuru Park na kuwapa masululu na spana kukarabati reli?
Kuna binadamu humu hujitoa ufahamu na kusema ile walijengewa ni number one China grade🙂mchina anakupa mkopo, interest juu, na bado anakupa masharti ya kuajiri raia wake kufanya kazi kwenye mradi. Ya nini sasa hiyo, treni wamewapa za 19th century, sgr sio ya umeme na bora hata ingekuwa inaconnect hadi UG, haijafika yaani mi nasema na uzalendo wa rais kujali maslahi ya wananchi wake yanachangia. Magufuli anahakikisha kauwekezaji kokote lazima mtz awepo na hii ni toofauti na majirani zetu, project ifanyike ilimradi tu basi
Tatizo wachina wamewajulia ukubwani, sisi tuna uhusiano nao toka 60's.mchina anakupa mkopo, interest juu, na bado anakupa masharti ya kuajiri raia wake kufanya kazi kwenye mradi. Ya nini sasa hiyo, treni wamewapa za 19th century, sgr sio ya umeme na bora hata ingekuwa inaconnect hadi UG, haijafika yaani mi nasema na uzalendo wa rais kujali maslahi ya wananchi wake yanachangia. Magufuli anahakikisha kauwekezaji kokote lazima mtz awepo na hii ni toofauti na majirani zetu, project ifanyike ilimradi tu basi
kweli mkuu na hii hutokea pale unapolazimisha urafikiTatizo wachina wamewajulia ukubwani, sisi tuna uhusiano nao toka 60's.
Ouch!kweli mkuu na hii hutokea pale unapolazimisha urafiki
View attachment 1082911
hiyo si bongo aisee hapo ni europe

Tuzoee tu hizi sceneshiyo si bongo aisee hapo ni europe![]()
kabisa mkuu,,,,,Tuzoee tu hizi scenes
Bila Tanzania hakuna EAC, huo ndio ukweli japo mchungu.Tz inaongoza ku produce mchele EAView attachment 1083025
Bonge la gap!! wako level moja na Burundi, wanajitapa kwa kulima maua huku hawana chakula.Tz inaongoza ku produce mchele EAView attachment 1083025