




Am now uncomfortable with the authentic of your so called "an engineer "
Kwa taarifa yako saivi biggest project in the schedule ya Tanroads kwa upande wa dual carriage ways ni Dodoma outer ringroad project ambayo inaxiumganisha routes kutoa Lake Zone, Southern Highlands, Northern Zone na Dar to escaping from entering city centre
Itakua more than
100 kilometres na itagharimu
400 billion including compensations kuna toughest badass earthworks, almost 35% 6 lanes (+ service roads) and Lander's interests, sasa hicho kibarabara hapo ndio kiwe 350 billion? (reality hiyo pesa sio zaidi ya billion 140 kama unataka ushahidi useme)
From Arusha to KIA is not even perfect 45 kilometres, halafu hizi habari sizipati Google my friend.