kwa hiyo hapo kwenye hayo maeneo tutegemee mabadiliko yakibabe
👇👇👇👇
😆😆😆😆😆If in the hospital kuna kipinduapindua then supposed a patient is sent there, what happens? Straight to the Hellgates?
Welcome back mwasitiNaona kuna watu wanalazimisha barabara iwe dual carriage.
Naona kuna watu wanalazimisha barabara iwe dual carriage.
Ni kusema na kutenda
😂😂😂😂 "afu mm siambiwi kitu na mtu nimesoma makblasha nikiwa site miazini"Iko ivi hio kwenye picha n cost ya by pass na cost ya dual carriage tafuta utaona tulipitia road design nnnaikumbuka huniambii kitu ndio maana nkasema time will tell coz i know what am talking na nkakupa reference mm nnajibu maswala ya ujenzi tu humu tena mara moja ni kwa sababu ndio kazi zangu sa hv niko mbeya kwenye project ya tcsp ko mzee just wait time will tell miezi michache ijayo utaniamini nnachokiandika hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jengo ni tamu.
Okay bro"afu mm siambiwi kitu na mtu nimesoma makblasha nikiwa site miazini"
Men stop smoking that shit, am no one here just chill nica and get a life.