na wale walio vijijini kwani si watu...?
ngoja nikufunze kitu kwa Tanzania usipojenga kwenu ama usipoweka mazingira ya ulipotoka vizuri ni haibu kubwa..na vile vile usipojenga ama kuweka mazingira vizuri mahali unapoishi pia ni haibu kubwa hivyo inatulazimu kujenga sehemu mbili yaani unapoishi na ulipotokea ...
nyie bado wakora tu mnaishi kama wakimbizi kwenye taifa lenu mnaishia kujenga village tu wacha uwongo kwa hapo nairobi asilimia kubwa ni watu mnao rent house na huwa mnazaliana humo kuanzia wajukuu mpaka vitukuu pia mnazeekea humo humo nakufa[emoji3][emoji3]
Sent using
Jamii Forums mobile app