Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha walikuwepo ndugu zako waliotaka hii thread ifungwe wakashindwa wakaondoka na sasa mumerudi upya na nyie mutaondoka watakuja wengine pia 😆😆😆😆

Hii thread ilipoanza wengi wenu mlijua hii ni ile tz ya 90s
Nisha jua Ujinga wako umefikia wapi, sikulaumu ila narudishia shukran kwa wazazi wako walio kulea na huo upumbavu,
 
Nisha jua Ujinga wako umefikia wapi, sikulaumu ila narudishia shukran kwa wazazi wako walio kulea na huo upumbavu,
Pole sana tatizo lenu ukweli hamuutaki mulishazoea sifa za uongo 😆😆😆

Miaka 50 mliokua mkijenga nchi wakat sisi tunawahangaikia nchi zingine kupata uhuru sijui mulijenga nn😂😂😂 ushuzi wa bata
 
Nisha jua Ujinga wako umefikia wapi, sikulaumu ila narudishia shukran kwa wazazi wako walio kulea na huo upumbavu,
Kwanza hangaikeni sana kumaliza huu ugonjwa unaokula nyama za wakenya👇👇👇👇👇👇👇

 
Chukua hii source from gvt of tanzania usome uelewe 😆😆😆👇👇👇👇👇👇

Kijana mdogo wacha longolongo. Sasa unatuletea figures from your government ilhali hutaki kukubaliana na figures za world bank! Ingekuwa ni mkenya ameleta source ya government ya Kenya you would have been so quick to dismiss them saying those are cooked figures. Is that not double standards? Halafu ulivyo mjinga, hukuchukuwa hata mda wako kusoma ripoti yenyewe. In the subtopic ' Electrification demand and electrification rate' it CLEARLY says ... 'World bank figures from 2014 shows a 30% overall electrification rate...with only 18% of your rural folk having access to electricity....' Kubali yaishe, ni asilimia 32 tu ya watanzania ndio wako na umeme na hata hiyo serikali yenu 'tukufu' imedhibitisha hilo
 
Pole sana tatizo lenu ukweli hamuutaki mulishazoea sifa za uongo [emoji38][emoji38][emoji38]

Miaka 50 mliokua mkijenga nchi wakat sisi tunawahangaikia nchi zingine kupata uhuru sijui mulijenga nn[emoji23][emoji23][emoji23] ushuzi wa bata



Yaani mnahangaika na kufananisha kenya na Tanzania?
Tanzania ipo mbali sana
Moja ni nchi isiyo na ukabila
Pili ni nchi yenye neema sana kila mahali
Angalia mito maziwa bahari vyote huwezi kufananisha na nchi ya kenya.
Ukitaka kujua wakenya wapo hoi nenda mashule asilimia kubwa wanaofundisha private schools wanatoka kenya.
Zanzibar asilimia kubwa wanaofanya mahotelini wakenya. Na pia mashuleni.
Kwahiyo
Tanzania huwezi fananisha na kenya hata kidogo.
 
Ondoeni kwanza tittle ya slum hub ndio urudi hapa,jiji lenu zaidi ya nusu ni choka mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
You need to look at google earth images between these two cities then you'll know what I mean. Dar is a glorified village with corrugated iron sheets spreading as far as the eye can see
 
Yaani mnahangaika na kufananisha kenya na Tanzania?
Tanzania ipo mbali sana
Moja ni nchi isiyo na ukabila
Pili ni nchi yenye neema sana kila mahali
Angalia mito maziwa bahari vyote huwezi kufananisha na nchi ya kenya.
Ukitaka kujua wakenya wapo hoi nenda mashule asilimia kubwa wanaofundisha private schools wanatoka kenya.
Zanzibar asilimia kubwa wanaofanya mahotelini wakenya. Na pia mashuleni.
Kwahiyo
Tanzania huwezi fananisha na kenya hata kidogo.
Sasa wewe umetoka kwa dimbwi lipi? Wakenya wengi kufanya kazi nchini Tanzania inakuonyesha nini kama mtanzania? Kwanza ni dhihirisho kwamba hamna enough human resource kuendeleza uchumi wenu ndo maana tuko na uchumi kubwa kuwaliko so you should even thank us. Pili, inaonyesha kwamba wakenya ni watu wa kujituma, sio kama nyinyi wazembe waliobobea kwa story za vijiweni na kongea za wengine ndio maana siku zote mmeaminishwa na sisiemu kwamba Kenya ilijengwa na wazungu. Nchi yetu tumeijenga kwa jasho letu japo changamoto bado zipo si haba. So chunguza unachosema usionekane mjinga wa kupindukia!
 
Yaani mnahangaika na kufananisha kenya na Tanzania?
Tanzania ipo mbali sana
Moja ni nchi isiyo na ukabila
Pili ni nchi yenye neema sana kila mahali
Angalia mito maziwa bahari vyote huwezi kufananisha na nchi ya kenya.
Ukitaka kujua wakenya wapo hoi nenda mashule asilimia kubwa wanaofundisha private schools wanatoka kenya.
Zanzibar asilimia kubwa wanaofanya mahotelini wakenya. Na pia mashuleni.
Kwahiyo
Tanzania huwezi fananisha na kenya hata kidogo.

Wanaelewa sana na huwa yanawafika shingoni na kukimbia mdomdo. Wala usihofu, watanyoosha mikono wenyewe
 
Sasa wewe umetoka kwa dimbwi lipi? Wakenya wengi kufanya kazi nchini Tanzania inakuonyesha nini kama mtanzania? Kwanza ni dhihirisho kwamba hamna enough human resource kuendeleza uchumi wenu ndo maana tuko na uchumi kubwa kuwaliko so you should even thank us. Pili, inaonyesha kwamba wakenya ni watu wa kujituma, sio kama nyinyi wazembe waliobobea kwa story za vijiweni na kongea za wengine ndio maana siku zote mmeaminishwa na sisiemu kwamba Kenya ilijengwa na wazungu. Nchi yetu tumeijenga kwa jasho letu japo changamoto bado zipo si haba. So chunguza unachosema usionekane mjinga wa kupindukia!
Wewee usitusingizie ugonjwa wenu. Nyie ndio ambao kucha kutwa kwenye mitandao bila kuiongelea Tanzania hamjisikii vizuri. Kila mkitaka kujitangaza mnaweka comparisons na Tanzania. Ingia youtube n.k utakuta vitakwimu vyenu vya kuiongelea vibaya Tanzania
 
Wewee usitusingizie ugonjwa wenu. Nyie ndio ambao kucha kutwa kwenye mitandao bila kuiongelea Tanzania hamjisikii vizuri. Kila mkitaka kujitangaza mnaweka comparisons na Tanzania. Ingia youtube n.k utakuta vitakwimu vyenu vya kuiongelea vibaya Tanzania
Kabla hatujaenda mbali sana, hii thread ilianzishwa na mkenya au mtanzania? Nijibu hiyo kwanza ndio tujue nani anapenda comparison kati yetu na nyie
 
Kabla hatujaenda mbali sana, hii thread ilianzishwa na mkenya au mtanzania? Nijibu hiyo kwanza ndio tujue nani anapenda comparison kati yetu na nyie
So kisa hii thread ndo ukaamua utupake tabia yenu? Kweli nyani haoni kundule na mkuki kwa ngurue mtamu ila kwa binaadamu mchungu.

Nikusaidie tu kama hilo bichwa lako haliwezi kuconnect dots, hii thread ni matokeo ya post zenu za mitandaoni kutengeneza posta za kuisort Tanzania na Dar es Salaam against uchafu wenu. Ingia youtube cheki comparisons mnazotuchafulia sifa zetu tena kuna yule nyumbu mwenzako anajiita tunacheki na mwingine africa insider and that is just sample bado search google utakuta .ke kibao zimetoa takwimu zao against Tanzania na Dar es Salaam, ukipata sehemu yenye umeme wa uhakika take your time sina haja ya kukuelezea sana maana kama kichwa chako kinachelewa kuscan ni matatizo yako hayanihusu
 
Wonders😆😆😆😆👇👇👇

 
Back
Top Bottom