So kisa hii thread ndo ukaamua utupake tabia yenu? Kweli nyani haoni kundule na mkuki kwa ngurue mtamu ila kwa binaadamu mchungu.
Nikusaidie tu kama hilo bichwa lako haliwezi kuconnect dots, hii thread ni matokeo ya post zenu za mitandaoni kutengeneza posta za kuisort Tanzania na Dar es Salaam against uchafu wenu. Ingia youtube cheki comparisons mnazotuchafulia sifa zetu tena kuna yule nyumbu mwenzako anajiita tunacheki na mwingine africa insider and that is just sample bado search google utakuta .ke kibao zimetoa takwimu zao against Tanzania na Dar es Salaam, ukipata sehemu yenye umeme wa uhakika take your time sina haja ya kukuelezea sana maana kama kichwa chako kinachelewa kuscan ni matatizo yako hayanihusu