Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

lile suala la power interruption(mgao wa umeme) ndani ya kenya, linaendelea tena leo tarehe 8.

halafu utawakuta kwenye social media na vingereza vingi wakijidai ati wao ni watu wa uchumi wa kati.

eneo kukosa umeme kuanzia 9am-5pm ni hasara kubwa sana katika shuguli za kiuchumi.
View attachment 1065898View attachment 1065900View attachment 1065901View attachment 1065902
Walikuja hapa wakasema access to electricity kwao ni kubwa sasa sioni faida yake😆😆😆

Ujumbe kwa wakenya👇👇👇👇👇
4D19D16F-9D22-49C2-A628-E76254A2B97D.jpeg
 
lile suala la power interruption(mgao wa umeme) ndani ya kenya, linaendelea tena leo tarehe 8.

halafu utawakuta kwenye social media na vingereza vingi wakijidai ati wao ni watu wa uchumi wa kati.

eneo kukosa umeme kuanzia 9am-5pm ni hasara kubwa sana katika shuguli za kiuchumi.
View attachment 1065898View attachment 1065900View attachment 1065901View attachment 1065902
Do you know the difference between power interruption and power rationing? Why do you talk about mgao wa umeme (power rationing) when its crystal clear you don't even know what you are talking about? Wabongo mko na shida kweli. That's a normal interruption of a service maybe because of a scheduled maintenance or something close to that. Mtaumwa sana na vichwa sababu ya Kenya lakini number mtasoma milele
 
Niamnini Kenyan media outlets, statistics alitoa nani? google? peleka propaganda zenu, this is a night East Africa map as seen from the ISS nambie sasa hiyo access vizuri, nairoberry na mombasa tu ndo mna umeme na umeme wenyewe wa kusuasua
View attachment 1065996
As usual you always live in denial. Hiyo ni moja ya sababu ambazo hadi wa leo bado mko katika lile kundi la LDC. Taarifa hiyo imetoka World Bank so unaweza wauliza hilo swali
 
Hamna binadamu mzembe kama wewe yaani sijawahi kuona, bora hata ungetoa link tusome, ukagoogle tu na kuscreenshot basi na kupost. Tanzania hatuamini google, au yeyote aliyesoma anaelewa hilo sasa wewe umekanyaga hata class kweli? Credible sources are necessary here sio kubwabaja tu
 
As usual you always live in denial. Hiyo ni moja ya sababu ambazo hadi wa leo bado mko katika lile kundi la LDC. Taarifa hiyo imetoka World Bank so unaweza wauliza hilo swali
I don't have to ask the damn world bank if you decided to represent them, bring the link here. Denial? don't make me laugh mate, with the news we're hearing about power cuts in various areas in kunyattaland who's living in denial? Kwanza how are you still able to chat with the power off? au uko kwa friend in a posh suburb nini?
 
I don't have to ask the damn world bank if you decided to represent them, bring the link here. Denial? don't make me laugh mate, with the news we're hearing about power cuts in various areas in kunyattaland who's living in denial? Kwanza how are you still able to chat with the power off? au uko kwa friend in a posh suburb nini?
Hahaha here is the link mtoto wa kidanganyika. Soma umakinike kidogo uwache kushindana na ndovu kunya usipasuke mk**du bure kabisa
 
Hamna binadamu mzembe kama wewe yaani sijawahi kuona, bora hata ungetoa link tusome, ukagoogle tu na kuscreenshot basi na kupost. Tanzania hatuamini google, au yeyote aliyesoma anaelewa hilo sasa wewe umekanyaga hata class kweli? Credible sources are necessary here sio kubwabaja tu
Kwani hiyo screenshot haina link? Au link ni nini? Jiangalie ulivo mjinga!!! The highlighted area in blue si ni link jamani?
 
I don't have to ask the damn world bank if you decided to represent them, bring the link here. Denial? don't make me laugh mate, with the news we're hearing about power cuts in various areas in kunyattaland who's living in denial? Kwanza how are you still able to chat with the power off? au uko kwa friend in a posh suburb nini?
I know you are a danganyikan but must you tell the whole world that you are one? I know that most Tanzanians, just like you, can't tell the difference between a power interruption and power rationing. To you and your ilk, the former and the latter are one and the same thing. Poor danganyikans!
 
Kwani hiyo screenshot haina link? Au link ni nini? Jiangalie ulivo mjinga!!! The highlighted area in blue si ni link jamani?
[/QUOTE]
Link to the WB dummy
 
I know you are a danganyikan but must you tell the whole world that you are one? I know that most Tanzanians, just like you, can't tell the difference between a power interruption and power rationing. To you and your ilk, the former and the latter are one and the same thing. Poor danganyikans!
First, Yes! I am proud of my heritage and second, I can tell a difference, and don't change the topic, we were discussing about the enormous data you just brought us. Power rationing, power interruption i don't give a damn, you sleep with no power, you spend your day with no power, not my problem. Just bring the link by the WB with that information then we'll talk
 
Kwa sababu unajifanya huoni, wacha tu nikuletee for the second time in less than five minutes. I know you are a danganyikan, you have problems understanding simple things a d dealing with you is one hell of a problem.

Najua hata hii pia utajifanya haujaona. Typical danganyikan
 
Kwa sababu unajifanya huoni, wacha tu nikuletee for the second time in less than five minutes. I know you are a danganyikan, you have problems understanding simple things a d dealing with you is one hell of a problem.

Najua hata hii pia utajifanya haujaona. Typical danganyikan
Retarded Kunyan citizen, I want the data that you initially posted here with percentages, coming from the WB like you said.
 
Retarded Kunyan citizen, I want the data that you initially posted here with percentages, coming from the WB like you said.
Look at yourself!!! What's the difference? Is that not a world Bank website ama tatizo lako lipi? Hii hata inasema 70% leave alone the previous one ya 2016 which was saying 56%. Number mtazidi kusoma kwa maumivu sana wadanganyika. Look at your poor selves! Fungua link usome wacha kusumbua. I didn't write the report. It is written by WB itself and they posted on their OWN website so you can ask them where they got the figure from
 
Retarded Kunyan citizen, I want the data that you initially posted here with percentages, coming from the WB like you said.
Look at yourself!!! What's the difference? Is that not a world Bank website ama tatizo lako lipi? Hii hata inasema 70% leave alone the previous one ya 2016 which was saying 56%. Number mtazidi kusoma kwa maumivu sana wadanganyika. Look at your poor selves! Fungua link usome wacha kusumbua. I didn't write the report. It is written by WB itself and they posted on their OWN website so you can ask them where they got the figure from
 
Look at yourself!!! What's the difference? Is that not a world Bank website ama tatizo lako lipi? Hii hata inasema 70% leave alone the previous one ya 2016 which was saying 56%. Number mtazidi kusoma kwa maumivu sana wadanganyika. Look at your poor selves! Fungua link usome wacha kusumbua. I didn't write the report. It is written by WB itself and they posted on their OWN website so you can ask them where they got the figure from
Faida yake nn kua na access alaf hakuna umeme kwenye sehemu muhimu kama hzo😆😆😆😆👇👇👇👇

 
Faida yake nn kua na access alaf umeme hakuna😆😆😆😆 akili kichwani mwako
Sasa umeme utakosekana wakati kuna access? Ama ni kizungu inakupiga chenga? How can you access something that you don't have? Unatumia akili akili kweli? Wanaposema access rate, wanamaanisha idadi ya wakenya ambao kufikia sasa sana umeme katika nyumba zao ambapo kwa sasa asimila 56 wako na umeme ukilinganisha na asilimia 32 ya watanzinia. Mbona mambo rahisi hivi mnashindwa kuelewa??????
 
Back
Top Bottom