Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,761
- 107,210
I swear sijaona Westlands hapo, Westy, Karen, Lavington maana ndo expats wengi wanaishi. Ni wakenya wa kawaida maskini ndio huwa wanateseka halafu wanakuja hapa bila aibu oh multinational corporations ziko based in nairobi, zinawasaidia nini? hata kazi hamna kwenye hizo kampuni yaani ni foreigners ndo wameishikilia nairobi, blacks mpo tu mnachekacheka na njaa.siku hizi imekuwa ni jambo la kawaida sana kukutana na ujumbe wa kukatika kwa umeme kila unapotembelea kurasa rasmi za kenya power. nini shida wakenya?.
nataka mjue huku tz kwa sasa ni nadra sana kukatika umeme. in short we are on the right track concerning power supply.
poleni sana watu wa uchumi wa kati.huu ujumbe wa leo wa kenya power unaonyesha almost a half of kenya is having a problem of power interruption.
View attachment 1065260View attachment 1065261View attachment 1065262View attachment 1065263View attachment 1065264
huko embakasi mpaka mida hii hawana stima(stima=umeme).I swear sijaona Westlands hapo, Westy, Karen, Lavington maana ndo expats wengi wanaishi. Ni wakenya wa kawaida maskini ndio huwa wanateseka halafu wanakuja hapa bila aibu oh multinational corporations ziko based in nairobi, zinawasaidia nini? hata kazi hamna kwenye hizo kampuni yaani ni foreigners ndo wameishikilia nairobi, blacks mpo tu mnachekacheka na njaa.
I swear sijaona Westlands hapo, Westy, Karen, Lavington maana ndo expats wengi wanaishi.
😘😘😘 Dar es SalaamCaption this folks, mine: Darhattan coming up
View attachment 1065143
Endelea kujipa matumaini 😂😂👇👇👇 wenzako washaona tembo mweupe tayariWewe unadhani project kiasi hiki ilifanyika bila kuzingatia haya….Unachofaa kujua ni kuwa Eritrea will be serving the North of Addis Ababa while the Lamu port will be serving the Southern part of Addis Ababa which has a population of 50 million. So we na kichwa chako maji unapost tu ndo ujifurahishe na huelewi the economics behind it.
indeed dar es salaam is transforming to darhattanCaption this folks, mine: Darhattan coming up
View attachment 1065143
Moja ya mambo ambayo Rais Magufuli amechukua pointi za mezani ni suala la umeme,hakika kwenye hili eneo huyu Mzee Watanzania ametutendea haki,sipati picha ule mradi wa Mto Rufiji ukikamilika hali itakavyoboreka.!siku hizi imekuwa ni jambo la kawaida sana kukutana na ujumbe wa kukatika kwa umeme kila unapotembelea kurasa rasmi za kenya power. nini shida wakenya?.
nataka mjue huku tz kwa sasa ni nadra sana kukatika umeme. in short we are on the right track concerning power supply.
poleni sana watu wa uchumi wa kati.huu ujumbe wa leo wa kenya power unaonyesha almost a half of kenya is having a problem of power interruption.
View attachment 1065260View attachment 1065261View attachment 1065262View attachment 1065263View attachment 1065264
duh maeneo yote hayo yanakuwa hayana umeme kuanzia saa 3 asubuhi hadi 11jioni?siku hizi imekuwa ni jambo la kawaida sana kukutana na ujumbe wa kukatika kwa umeme kila unapotembelea kurasa rasmi za kenya power. nini shida wakenya?.
nataka mjue huku tz kwa sasa ni nadra sana kukatika umeme. in short we are on the right track concerning power supply.
poleni sana watu wa uchumi wa kati.huu ujumbe wa leo wa kenya power unaonyesha almost a half of kenya is having a problem of power interruption.
View attachment 1065260View attachment 1065261View attachment 1065262View attachment 1065263View attachment 1065264
Can you read the highlighted part??? Ujinga ulio nao ni kupost article nusu ndo tuone umavi ulio kichwani mwako……We are very informed bwana......You will remain being an LDC country with your kind of mentality, stupidity and foolishness....Sasa kale kinyesi ulale!
dah so sad kumbe ile saa 11 jioni ni danganya bwege,jamaa wanapiliza hadi saa 2 usiku?huko embakasi mpaka mida hii hawana stima(stima=umeme).
View attachment 1065327
Siku hz wako busy kuzitungia story za kizushi ndege zetu kumbe kwao stima imekua ni tatizo!huko embakasi mpaka mida hii hawana stima(stima=umeme).
View attachment 1065327
Zanzibar, Fumba - a brandnew exclusive town on the coast of the Indian Ocean
Fumba Uptown during construction phase in Dec 2018. It is a whole new town of approx. 600 houses (exclusive villas and apartments) being built by Said Bakhresa a Tanzanian business tycoon.
Source: Marco X