Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

siku hizi imekuwa ni jambo la kawaida sana kukutana na ujumbe wa kukatika kwa umeme kila unapotembelea kurasa rasmi za kenya power. nini shida wakenya?.

nataka mjue huku tz kwa sasa ni nadra sana kukatika umeme. in short we are on the right track concerning power supply.

poleni sana watu wa uchumi wa kati.huu ujumbe wa leo wa kenya power unaonyesha almost a half of kenya is having a problem of power interruption.
View attachment 1065260View attachment 1065261View attachment 1065262View attachment 1065263View attachment 1065264
I swear sijaona Westlands hapo, Westy, Karen, Lavington maana ndo expats wengi wanaishi. Ni wakenya wa kawaida maskini ndio huwa wanateseka halafu wanakuja hapa bila aibu oh multinational corporations ziko based in nairobi, zinawasaidia nini? hata kazi hamna kwenye hizo kampuni yaani ni foreigners ndo wameishikilia nairobi, blacks mpo tu mnachekacheka na njaa.
 
I swear sijaona Westlands hapo, Westy, Karen, Lavington maana ndo expats wengi wanaishi. Ni wakenya wa kawaida maskini ndio huwa wanateseka halafu wanakuja hapa bila aibu oh multinational corporations ziko based in nairobi, zinawasaidia nini? hata kazi hamna kwenye hizo kampuni yaani ni foreigners ndo wameishikilia nairobi, blacks mpo tu mnachekacheka na njaa.
huko embakasi mpaka mida hii hawana stima(stima=umeme).
Screenshot_2019-04-07-20-44-14-716_com.facebook.katana.jpeg
 
Wewe unadhani project kiasi hiki ilifanyika bila kuzingatia haya….Unachofaa kujua ni kuwa Eritrea will be serving the North of Addis Ababa while the Lamu port will be serving the Southern part of Addis Ababa which has a population of 50 million. So we na kichwa chako maji unapost tu ndo ujifurahishe na huelewi the economics behind it.
Endelea kujipa matumaini 😂😂👇👇👇 wenzako washaona tembo mweupe tayari
3D8BD96B-CF95-44B2-948C-BEFE5D82515B.jpeg
 
issue ya power interruption imekuwa very critical, mpaka mda huu kuna baadhi ya maeneo ya nairobi hayana stima.

here are recent tweets about it.
IMG_20190407_212748.jpeg
Screenshot_2019-04-07-21-28-56-333_com.twitter.android.jpeg
 
siku hizi imekuwa ni jambo la kawaida sana kukutana na ujumbe wa kukatika kwa umeme kila unapotembelea kurasa rasmi za kenya power. nini shida wakenya?.

nataka mjue huku tz kwa sasa ni nadra sana kukatika umeme. in short we are on the right track concerning power supply.

poleni sana watu wa uchumi wa kati.huu ujumbe wa leo wa kenya power unaonyesha almost a half of kenya is having a problem of power interruption.
View attachment 1065260View attachment 1065261View attachment 1065262View attachment 1065263View attachment 1065264
Moja ya mambo ambayo Rais Magufuli amechukua pointi za mezani ni suala la umeme,hakika kwenye hili eneo huyu Mzee Watanzania ametutendea haki,sipati picha ule mradi wa Mto Rufiji ukikamilika hali itakavyoboreka.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siku hizi imekuwa ni jambo la kawaida sana kukutana na ujumbe wa kukatika kwa umeme kila unapotembelea kurasa rasmi za kenya power. nini shida wakenya?.
nataka mjue huku tz kwa sasa ni nadra sana kukatika umeme. in short we are on the right track concerning power supply.
poleni sana watu wa uchumi wa kati.huu ujumbe wa leo wa kenya power unaonyesha almost a half of kenya is having a problem of power interruption.
View attachment 1065260View attachment 1065261View attachment 1065262View attachment 1065263View attachment 1065264
duh maeneo yote hayo yanakuwa hayana umeme kuanzia saa 3 asubuhi hadi 11jioni?

i wonder this design of "middle income" country
 
Endelea kujipa matumaini 😂😂👇👇👇 wenzako washaona tembo mweupe tayari
View attachment 1065342
1065426
Can you read the highlighted part??? Ujinga ulio nao ni kupost article nusu ndo tuone umavi ulio kichwani mwako……We are very informed bwana......You will remain being an LDC country with your kind of mentality, stupidity and foolishness....Sasa kale kinyesi ulale!
 
March 2019
Dar-es-Salaam, Tanzania

Tanzania - Crossing from Dar es Salaam to Zanzibar by fast ferry (Azam Marine)

The fast ferry from Dar es Salaam to Zanzibar takes approx. 1:40 hours. Both terminals are situated in city centers. You can choose between economy, business, VIP and royal class - while economy would be the only class on deck to get good pics from the passage


Source: Marco X
 
Zanzibar, Fumba - a brandnew exclusive town on the coast of the Indian Ocean

Fumba Uptown during construction phase in Dec 2018. It is a whole new town of approx. 600 houses (exclusive villas and apartments) being built by Said Bakhresa a Tanzanian business tycoon.


Source: Marco X
 
Zanzibar, Fumba - a brandnew exclusive town on the coast of the Indian Ocean

Fumba Uptown during construction phase in Dec 2018. It is a whole new town of approx. 600 houses (exclusive villas and apartments) being built by Said Bakhresa a Tanzanian business tycoon.


Source: Marco X


Superb


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom