Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,033
- 79,017
Loss + new loan = collapse๐๐๐๐๐๐ taking loan to john to pay japhet... wapi GDP iko kwa karatasi za wakikuyu
Burudika na mapovu๐๐๐๐
Pesa ya kuipa shirika hawana kwasababu wana madeni mpaka matakoni bado ile big white elephant lamu port 2.5 trillion ksh za mchina maana ethiopia ashajitoa na kawekeza djebout tena heavy investments, GDP iko kwenye karatasi inapikwa usiku na mchana๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Yaani hata nchi yenyewe imeshindwa kulikopesha shirika lao!!! Huku sisi tukinunua ndege na kulipa shirika pesa za kuliinua, wenzetu hawawezi kuraise kiasi kidogo namna hiyo kulisaidia shirika!!!!!
Kwa jirani hali ishakua tete,tunapaswa kuwapelekea msaada wa chakula kama tulivyofanya kwa ndugu zetu wa SADCTumahukuru mchina kusaidia chakula MLDC
Njaa sio kitu ya kuchezea
Sure, kuna kitu watu hawajagundua kuhusu GDP, sometimes it is as a result of old estimates. The way nafeel ni kuwa GDP yetu ni kubwa kuliko wanavyotuandikia coz inaweza kuwa ilitokana na estimates za kipindi kigumu tulichokua tunapitia na usocialist tuliokua nao against usa. Haiwezekani kwa namna tunavyojiweza namna hii eti mtu hawezi hata kujifund an then tunaambiwa ana GDP kubwa kuliko sisi. Haya yote yanaamuliwa na nchi moja kulingana na namna unavyowalamba miguu, thats why leo hii sarafu ya South Africa ni kubwa kuliko sarafu ya RussiaPesa ya kuipa shirika hawana kwasababu wana madeni mpaka matakoni bado ile big white elephant lamu port 2.5 trillion ksh za mchina maana ethiopia ashajitoa na kawekeza djebout tena heavy investments, GDP iko kwenye karatasi inapikwa usiku na mchana๐๐๐
Nimebishana na hawa jamaa hapa mpaka nimechoka, nimewaonesha maisha yalivyo Tanzania na jinsi pesa ilivyo na nguvu ya kununua matumizi hapa Tanzania, nimeongelea kusuhu ubovu wa vipimo vya GDP na kuonya kuitumika kama standard ya maendeleo, lakini watu hawaelewi.Sure, kuna kitu watu hawajagundua kuhusu GDP, sometimes it is as a result of old estimates. The way nafeel ni kuwa GDP yetu ni kubwa kuliko wanavyotuandikia coz inaweza kuwa ilitokana na estimates za kipindi kigumu tulichokua tunapitia na usocialist tuliokua nao against usa. Haiwezekani kwa namna tunavyojiweza namna hii eti mtu hawezi hata kujifund an then tunaambiwa ana GDP kubwa kuliko sisi. Haya yote yanaamuliwa na nchi moja kulingana na namna unavyowalamba miguu, thats why leo hii sarafu ya South Africa ni kubwa kuliko sarafu ya Russia
Ila mchina kiboko aisee๐๐๐๐๐๐
Nimebishana na hawa jamaa hapa mpaka nimechoka, nimewaonesha maisha yalivyo Tanzania na jinsi pesa ilivyo na nguvu ya kununua matumizi hapa Tanzania, nimeongelea kusuhu ubovu wa vipimo vya GDP na kuonya kuitumika kama standard ya maendeleo, lakini watu hawaelewi.
Sasa wakija wakiona tunalipia SGR, tunajenga mahospitali, tunanunua ndege, tunajenga barababa, viwanja vya ndege,bwawa kubwa la umeme, bandari n.k, kwa pesa zetu kwa mpigo wanabaki midomi wazi.
Sasa wao waendelee kusema wao ni middle income, sisi tuijenge nchi yetu. Wakishtuka 2025 tuna ndege 50 kwa pesa yetu ndo watatia akili.