Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Sinaga muda wa kupiga picha na sitawahi post picha humu iwe ya Nairobi au Dar hilo mtafanya nyie,nitaepusha mbawa zangu Kwa hilo sitabishana na wewe,ila fahamu kuwa Dar naifahamu vizuri Sana.Wakenya wengi huwaga mnasema next week nitakua Dar, nakutupa ahadi za kutuma picha mbaya za Dar ila mkifika huwa mnakosa ubaya na kutupilia mbali camera zenu. Ila kwa case yako wewe hujafika kabisa una shobo sana ungetuma picha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
