ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Nikuulize Mara ngapi rejea page za nyuma usome swali hakuna kuzuga hapa😛😛😛🙄uliza swali.....
Nikuulize Mara ngapi rejea page za nyuma usome swali hakuna kuzuga hapa😛😛😛🙄uliza swali.....
Let's take baby steps.....Kwan swali umelijibu au unazuga njia ya kutokea hahhahahah so kwakifupi swali langu limekosa wakujibu 😀😀😀
Wanjala aliingia mtini sasa wewe unatafuta njia yakutokea 😛😛😛
So kwakifupi narudia tena kua kenya airways haijanunua ndege cash zote wamelease😀😀
Nimefunga ukurasa fungua mdahalo mwengine tuendelee🙄🙄🙄
Swali lisilo nihusu siwezi kujibu mdogo Wangu.Nikuulize Mara ngapi rejea page za nyuma usome swali hakuna kuzuga hapa😛😛😛
Tatizo lako unatafuta njia ya kutokea ila swali liko pale pale and wat I knew , nilijua umekuja kuokoa jahazi kwa wanjala na mm nilikua naimani utajibu swali ambalo mwenzio alikimbia,Let's take baby steps.....
Kwa mfano nije kwako alafu uniambie umeua panya, je inaingia akilini kuniuliza ulipomuulia panya? Sasa utakapo niambia ulipomuulia yule panya nikabisha, hapo ndo itabidi nitoe maelezo.
Ok. Turudi kwenye kesi yetu, kama kuna mtu aliongelea Kenya airways kununua ndege cash inabidi umbane kama nilivyokubana hadi ukapata link na ishu tukamaliza...... sasa basi, Kwa vile sikuongelea ununuzi wa ndege, sina sababu ya kukesha kama ulivyokesha kutafuta link. Na kama kunasehem niliongelea ununuzi wa ndege naomba uweke hapa ilituendelee na mchakato utakaofata. Jitahidi sana usihamishe mada kama ulivyozoea ili tuweze kusonga mbele.
Na huwezi kujibu nilijua mbona mapema😀😀😀😀😀😀😀😀Swali lisilo nihusu siwezi kujibu mdogo Wangu.
Tatizo lako unatafuta njia ya kutokea ila swali liko pale pale and wat I knew , nilijua umekuja kuokoa jahazi kwa wanjala na mm nilikua naimani utajibu swali ambalo mwenzio alikimbia,
Sasa nilijua bomu hilo la wanjala pengine wewe utalitegua kumbe kumbe maskini umekumbatia bomu limekubutua 😀😀😀
Na Mimi nilijua mapema kwenye swali langu ulikua hutoki kabisa nakwambia wazi ulikua hutoki 😛😛😛😛
Chamsingi swali langu halijajibiwa mpaka dakika hii so chamsingi kaka usiumize kichwa kujibu swali nakurahisishia kazi kua huna jibu lakijibu na hutakuanalo, short and clear🙂🙂🙂
Kama unamjadala mwengine leta tuendelee kwa hili ushafeli 🙄🙄🙄
Na huwezi kujibu nilijua mbona mapema😀😀😀😀😀😀😀😀
Bentley Showroam in Kenya
![]()

Hii number plate ni gani? ..ACESome guys just won abnormal amounts of money in Nairobi from Sportpesa, the first guy won 221,300,000 which is 4,800,690,309.10 TZS and another 41,000,000 which is 889,271,222.50 TZS rolling in the streets
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nakwambia usibadilishe mada mm kusoma au kutosoma wewe hakuwezi kukusaidia 😀😀😀Haya sawa jamaa wa faculty of aviation! hehehehe Wapi kule? Moscow kwa Putin. Sina kesi na wewe! Link uliniletea na nikadhibitisha kwamba university hujawai kukanyaga. Tusubiri thread nyingine itakayo tukutanisha hehehe.
Kule Moscow si una washkaji mliosomanao faculty moja ya aviation?
Wanjala, hahahahhaahahha siniliwaambia huyu lazma atudanganye yani wakiona wamezidiwa lazma utawaona wanabadilidi njia....Bentley Showroam in Kenya
![]()
Hehehe..... ushasema bomu la wanjala. Kwaiyo kama alisema wamenunua lazima a prove hakuna short cut hapa Hehehe... Unakumbuka niliyokubana povu zikakutoka ukakesha siku tatu ukitafuta link? Nae mbane hivyo hivyo. Yani usimlegezee hata kidogo, saivi najua unaexperience kutokana na nilivyokukazia! Akileta mambo ya faculty mara business mara aviation kumbe ka google, unampa live.Nakwambia usibadilishe mada mm kusoma au kutosoma wewe hakuwezi kukusaidia 😀😀😀
Yangoswe mwachie ngoswe kwanza kama umeshindwa kujibu lile Bomu la wanjala bora upige kimya kwasababu yaonesha lile Bomu limekuuma sana  😛😛
Kitu kilichonifurahisha mm kua kenya airways inunue dreamliner cash dunia isijue 😀😀😀
Hapo ndo mimi Mimi nimechoka...... Nimewashikeni pabaya sana 😀 nilianza kupata hope ulivokuja kudaka Bomu nikajua unajua kumbe kilaza bora yule aliekimbia bomu🙄🙄
Lilikua LA wanjala ukaamua kulichukua wewe ndio maana nikakuuliza unajua swali lililokua hewani heheheh kumbe Bomu mwenzako kalikwepa maksudi kabisa😛😛😛😛😛😛Hehehe..... ushasema bomu la wanjala. Kwaiyo kama alisema wamenunua lazima a prove hakuna short cut hapa Hehehe... Unakumbuka niliyokubana povu zikakutoka ukakesha siku tatu ukitafuta link? Nae mbane hivyo hivyo. Yani usimlegezee hata kidogo, saivi najua unaexperience kutokana na nilivyokukazia! Akileta mambo ya faculty mara business mara aviation kumbe ka google, unampa live.
Anyway naamini saivi huhitaji maelekezo jichukulie kama mfano. Twende kazi!
Unafumbia macho?! He he he.... nilishakuambia hata uifanye wimbo na uitolee CD, fact will remain kuwa fact. And you can't do anything about it hata ufumbe macho... ukifumbua unakutana nalo tena he hehe...Lilikua LA wanjala ukaamua kulichukua wewe ndio maana nikakuuliza unajua swali lililokua hewani heheheh kumbe Bomu mwenzako kalikwepa maksudi kabisa😛😛😛😛😛😛
Tatizo lako ulikuja speed sana 😀😀😀😀
Sio kila jambo unalivamia mengine unakuja kwa adabu hahahhahaa😀😀😀
Wewe huna chakunibana au kunifundisha
Punguza wenge kaka
Lini kenya airways wanunue dream liner dunia isijue kwa sifa mlizokua nazo😀😀😀
Akili kichwani mwako.....🙄🙄🙄🙄
Kuripukiwa na Bomu inaumaa au Bomu lenyewe hulijui limetokea wapi😛😛😛😛😛😛