Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

brother last week i was in mwanza town and rock beach garden was the place where i stayed for six days

hakika ni sehemu moja nzuri na ya kijanja sana kwa mtu anayependa utulivu. mida ya jioni nilikuwa naenda kujipatia "moja moto moja baridi" pale juu kwenye pub yao ambayo imejengwa katikati ya mawe makubwa.

nimedhamiria kwamba kila ninapotembelea jiji la mwanza, lazima nifike rock beach garden.

hizi ni picha nilizopiga kwa simu yangu. na anayeonekana kwenye picha mimi kadoda11. samahani kwa ku-filter sura yangu.
View attachment 1014861View attachment 1014862View attachment 1014863


Next Time,

Visit Wag Hill Beach in Mwanza. You won't regret mkuu
 
05e51ad8-5aa3-4bed-8b97-df006194f857.jpg



67120513-841e-4210-b2c1-fd4daa0b864d.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
dakika chache zilizopita citizen tv ya kenya, ilikuwa inarusha makala maalumu iliyoangazia mfumo wa mabasi ya mwendo kasi(BRT) wa dar es salaam na namna gani mfumo huo unaweza kutumika nairobi ili kupunguza foleni ya magari barabarani.

licha ya mbwembwe zao, kuna baadhi ya vitu wanajifunza kwetu.


View attachment 1013571View attachment 1013572View attachment 1013573View attachment 1013574View attachment 1013575View attachment 1013576View attachment 1013577View attachment 1013578
Hii kitu inawauma roho sana wazee wa slums,yan kimoyo moyo hawataki kuamini huu mradi upo Tanzania!
 
Back
Top Bottom