Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

 
when i told my foreign friend that this photo was taken in dar es salaam, he hesitated to believe it.

he said this beautiful view on the picture resembles some place in geneva, switzerland.
67124153b0019c8fec25a3fb00b85b56.jpeg
 
dakika chache zilizopita citizen tv ya kenya, ilikuwa inarusha makala maalumu iliyoangazia mfumo wa mabasi ya mwendo kasi(BRT) wa dar es salaam na namna gani mfumo huo unaweza kutumika nairobi ili kupunguza foleni ya magari barabarani.

licha ya mbwembwe zao, kuna baadhi ya vitu huwa wanakuja kujifunza kwetu.


IMG_20190204_213119.jpeg
IMG_20190204_213113.jpeg
IMG_20190204_213109.jpeg
IMG_20190204_213108.jpeg
IMG_20190204_213107.jpeg
IMG_20190204_213059.jpeg
IMG_20190204_213028.jpeg
IMG_20190204_212927.jpeg
 
dakika chache zilizopita citizen tv ya kenya, ilikuwa inarusha makala maalumu iliyoangazia mfumo wa mabasi ya mwendo kasi(BRT) wa dar es salaam na namna gani mfumo huo unaweza kutumika nairobi ili kupunguza foleni ya magari barabarani.

licha ya mbwembwe zao, kuna baadhi ya vitu wanajifunza kwetu.


View attachment 1013571View attachment 1013572View attachment 1013573View attachment 1013574View attachment 1013575View attachment 1013576View attachment 1013577View attachment 1013578

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡wanatafuta shuka kumekucha

 
dakika chache zilizopita citizen tv ya kenya, ilikuwa inarusha makala maalumu iliyoangazia mfumo wa mabasi ya mwendo kasi(BRT) wa dar es salaam na namna gani mfumo huo unaweza kutumika nairobi ili kupunguza foleni ya magari barabarani.

licha ya mbwembwe zao, kuna baadhi ya vitu wanajifunza kwetu.


View attachment 1013571View attachment 1013572View attachment 1013573View attachment 1013574View attachment 1013575View attachment 1013576View attachment 1013577View attachment 1013578

Mungiki waliopo humu tu ndio hawapendi kusikia BRT ila wakenya wengine wanatamani sana wangepata style kaa ya kwetu
 
Back
Top Bottom