Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dylh3R_X4AMthEK.jpeg
 
she is in my town...pongezi ziende kwa mwanamziki wa kitanzania ben paul kwa kutumia "di*k" yake vizuri kiasi cha kumfanya huyu manzi wa kikenya anogewe na kuamua kumfata ben paul tanzania.

job well done ben, you make us proud. chapa ilale.

IMG_20190206_113709.jpeg
IMG_20190206_113657.jpeg
Screenshot_2019-02-06-11-36-20-071_com.instagram.android.jpeg
 
View attachment 1014655
Rockbeach garden mwanza.
brother last week i was in mwanza town and rock beach garden was my place where i stayed for six days

hakika ni sehemu moja nzuri na ya kijanja sana kwa mtu anayependa utulivu. mida ya jioni nilikuwa naenda kujipatia "moja moto moja baridi" pale juu kwenye pub yao ambayo imejengwa katikati ya mawe makubwa.

nimedhamiria kwamba kila ninapotembelea jiji la mwanza, lazima nifike rock beach garden.

hizi ni picha nilizopiga kwa simu yangu. na anayeonekana kwenye picha ni mimi kadoda11. samahani kwa ku-filter sura yangu.
FB_IMG_1549442792135.jpeg
FB_IMG_1549442849335.jpeg
IMG_20190206_115336.jpeg
 
tanzania ni nchi ya kwanza east and central africa kuwa na mahakama inayotembea(mobile court unit).

mahakama hii ina facility zote zinazohitajika kuendeshea mashtaka.

hongera tanzania kwa kuanza halafu wao wanafata.
IMG_20190206_122525.jpeg
 
Back
Top Bottom