Hivi vitu vinapatikana kenya pekee,ambapo section yenye siraha iko ktk firing motion halafu kuna askari kanzu wameizunguka kando wanashangaa kinachoendelea.
Sijui ni mbinu gani hii inaitwa kijeshi![]()

hiyo inaitwa one way before to die...Its called a tactical formationKdf waoga sana👇👇👇👇
View attachment 995644
usidharau yawezekana ndio walivyofundishwa na marekaniwamerundikana eneo moja kama kawaida yao....wakati wa shambulio la westgate walirundikana hivihivi.
hawa jamaa hata hawajifunzi kutokana na makosa.
Bro sometimes majivuno yenu yanafanya tuwachukulie ni watu flani hivi mmemaliza kila kitu,kumbe ni wapuuzi wachache mnabadili taswira ya wakenya wote.
Kuna mjinga mmoja aliishawahi andika hapa kwamba the mighty kdf imeweza kuwanyamazisha kabisa alshabaab,tofauti na tpdf inayohangaika na waasi wenye mapanga huko congo drc,nilichoona kwamba ushabiki ummemeza amehamia katika mambo asiyoyajua.
Poleni sana tuko pamoja katika hali hii mbaya,ila tu akiba ya maneno kwenye kila jambo ni muhimu,ili tusije ulizana tena maswali ya kijinga wakati mbaya kama huu.
Bro sometimes majivuno yenu yanafanya tuwachukulie ni watu flani hivi mmemaliza kila kitu,kumbe ni wapuuzi wachache mnabadili taswira ya wakenya wote.
Kuna mjinga mmoja aliishawahi andika hapa kwamba the mighty kdf imeweza kuwanyamazisha kabisa alshabaab,tofauti na tpdf inayohangaika na waasi wenye mapanga huko congo drc,nilichoona kwamba ushabiki ummemeza amehamia katika mambo asiyoyajua.
Poleni sana tuko pamoja katika hali hii mbaya,ila tu akiba ya maneno kwenye kila jambo ni muhimu,ili tusije ulizana tena maswali ya kijinga wakati mbaya kama huu.
Hao in gsu c kdf na c waogaKdf waoga sana👇👇👇👇
View attachment 995644
Its called a tactical formation
Pliz just try and hide your ignorance
Hao niwaoga zaidi ya waogaHao in gsu c kdf na c waoga
Kupambana na hali yenu hio ni lazima ila mupunguze chuki na wivu kwa tanzaniaOkay acha tupambane na hali yetu
Non of my business ila ni waogaHao in gsu c kdf na c waoga
😂😂😂😂😂 Masikini wa MunguUsikute Suruali zimejaa Mkojo hapo
Yamejirundika kama yanadaka Senene
ooh halafu kweli.usidharau yawezekana ndio walivyofundishwa na marekani
Right it is non of your business so why are you posting the pics ?????Non of my business ila ni waoga
Kwan marekani aliposema tanzania haipo salama kisa ushoga mlikua munashabikia nini???? So pamabaneni na wanaume hao walikua wanne tu ila wamesmamisha nchi nzima na kuwakamata hamujawakamataRight it is non of your business so why are you posting the pics ?????
Kwan marekani aliposema tanzania haipo salama kisa ushoga mlikua munashabikia nini???? So pamabaneni na wanaume hao walikua wanne tu ila wamesmamisha nchi nzima na kuwakamata hamujawakamata


.Who told you kenya supports homosexualityKwan marekani aliposema tanzania haipo salama kisa ushoga mlikua munashabikia nini???? So pamabaneni na wanaume hao walikua wanne tu ila wamesmamisha nchi nzima na kuwakamata hamujawakamata
Kenya doesn't support homosexualityTanzania si salama kisa mashoga wanaandamwa,mkenya anashangilia.
Mkenya kaweka mazingira salama kwa wanyanduliwaji vinyeo,ila warengwa wa ugaidi sio habari waende tu wakapasuliwe kama wanataka.