mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
You must be enjoying Kenyan terrorist attack
Bro sometimes majivuno yenu yanafanya tuwachukulie ni watu flani hivi mmemaliza kila kitu,kumbe ni wapuuzi wachache mnabadili taswira ya wakenya wote.
Kuna mjinga mmoja aliishawahi andika hapa kwamba the mighty kdf imeweza kuwanyamazisha kabisa alshabaab,tofauti na tpdf inayohangaika na waasi wenye mapanga huko congo drc,nilichoona kwamba ushabiki ummemeza amehamia katika mambo asiyoyajua.
Poleni sana tuko pamoja katika hali hii mbaya,ila tu akiba ya maneno kwenye kila jambo ni muhimu,ili tusije ulizana tena maswali ya kijinga wakati mbaya kama huu.







