Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha tuekane sawa maana wanaficha ukweli wakat uko wazi
Huyu mpaka akuelewe ipo kazi

"Ahh!! watanzania,, yani wengine wenyu wanafurahia (ichoboy01) wakati sisi tunauzunika. Naona hii mtandao wa Jamii Forums tumepoteza, na ni chuki tuu. God Bless Kenya"
 
Eti media ya kenya inadanganya watu 14 wamekufa wakat jana taarifa zimevuja aljazeera watu zaidi 48 wamekufa

Alaf wanadanganya wakenya wamewaua alshabab wakat miili yao haionekani na jamaa wameshasepa kitambo walikua watu 4 wanafanganya wameua sita

Chakushangaza picha za miili ya hao alshabab hawana danganya toto au ramba lolo
lile shambulio limeondoka na roho 48 mkuu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar slays
Dw-6IJ_W0AAf0bs.jpg
 
Back
Top Bottom