Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
Mwandishi wenu wa habari ndie aliemleta yule mwandishi mzungu waliokamatwa nae pamoja akijifanya anauchungu na wanahabari wa TZ. Kwa ujumla nyie ndio mnaotuchongea kwenye dunia, kumbuka yule mwanahabari mzungu alisimama hadi kwenye bunge la ulaya kutupondeaWho told you kenya supports homosexuality
And how does USA issuing travel warnings to tz affect kenya how does it relate to kenya terrorist attacks

