Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is actually so sad
Dw9WYIAU0AABMxr.jpg
 
Niupumbavu kufurahia wanaume wenzie wakiweka kambi kwenu
Kwamba utalindwa hovyo kabisa
Hawa watu wapuuzi sana hata ugomvi na alshabebi wameutaka wenyewe, Tanzania ilikua na busara sana kutoshiriki hivi vita vilivyopangwa sababu ya soko la silaha la marekani
https://nairobinews.nation.co.ke/news/trump-approves-sale-of-sh43-5-billion-weapons-to-kdf/

Wanamgambo wa alshabebi wana ugomvi na serikali yao ambao marekani wana mkono wao, mchuma janga hula na wa kwao
 
Hawa watu wapuuzi sana hata ugomvi na alshabebi wameutaka wenyewe, Tanzania ilikua na busara sana kutoshiriki hivi vita vilivyopangwa sababu ya soko la silaha la marekani
Trump approves sale of Sh43.5 billion weapons to KDF

Wanamgambo wa alshabebi wana ugomvi na serikali yao ambao marekani wana mkono wao, mchuma janga hula na wa kwao
Alafu mmarekani alivyo mshenzi
Akatoa Onyo kwa raia wake kuitembelea Tanzania kisa ushoga
Akaacha Wanaume wa Alshbb wakijiandaa kuingia Kenya
Mikenya nimipumbavu sijapata kuona
 
Alafu mmarekani alivyo mshenzi
Akatoa Onyo kwa raia wake kuitembelea Tanzania kisa ushoga
Akaacha Wanaume wa Alshbb wakijiandaa kuingia Kenya
Mikenya nimipumbavu sijapata kuona
Wakenya ni malimbukeni, walijiona wapo level moja ya ubepari pamoja na US na NATO, wa bunge wengi wa Kenya walikataa na US iliwaahidi watakua bega kwa bega kwenye hii vita, matokeo yake wameachiwa zigo lote jumba bovu limewaangukia, alshabaab wanawauwa wakenya na wakenya wananunua silaha kwa mabilioni kushughulikia vita walioingia marekani.

Mmarekani baada ya alshabaab kuuwa wanajeshi wake mwenyewe ameamua kula kona. Hiyo kambi ni geresha tu,mtu unajenga kambi lakini pesa za silaha huna, unalishurutisha Taifa fukara kama Kenya linunue silaha unazzitengeneza wewe alafu Kenya wanaamini wapo pamoja {hahahaha}
 
kwa tiss kumshauri raisi kutokuingilia huo ugomvi

wakenya wapo hatua ambayo tz ilishaipita miaka mingi nyuma(kipindi cha ukombozi wa nchi za sadc) hongera ziende kwa mwalimu

sasa wenyewe now ndio wanatafuta ushawishi kwa kujifanya wakombozi that why wanapatwa na magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika hapo umenena, kweli pongezi ziwaendee, uzuri wa Tanzania hua haikurupuki, tulifikia hatua ya kutengwa EAC lakini maamuzi yetu mpaka leo yana mantiki ya hali ya juu.
 
Alafu mmarekani alivyo mshenzi
Akatoa Onyo kwa raia wake kuitembelea Tanzania kisa ushoga
Akaacha Wanaume wa Alshbb wakijiandaa kuingia Kenya
Mikenya nimipumbavu sijapata kuona

Hawa watu ni washenzi sana,sio kidogo.

Ndio maana huwa nawalumu wanasiasa uchwara wa hapa kwetu,wanapoanza kutetea upumbavu bila kujua mlolongo wake.

Yaani sasa raia wa marekani yuko salama zaidi kwenda hata somalia lakini sio tz kwa sababu hakuna haki za mashoga.wakenya wachache humu jf nao wakaingia mkenge na kuanza kuunga mkono eti tunafanya harakati kwa jambo litakaloleta matokeo hasi.
 
Back
Top Bottom