Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Terminal 2👇👇👇👇👇
7AA07B09-E007-4D5B-B907-FF97A7973A23.jpeg
49B1B141-21BB-4E88-A0CF-6A4155FEFC10.jpeg
C9FF45D3-1BD8-474E-8E5C-9B8F60E069FE.jpeg
40BF2FC6-1053-45F0-AE86-7DC6CDDC5425.jpeg
 
Nangoja uzinduzi wa SGR mwaka huu!
Kabla ya hapo Terminal 3 linazinduliwa. Then tuna wachota watu kutoka Bujumbura, Kampala, Harare na Lusaka wana ingia kwenye terminal kubwa zaidi ya zote E.A wanakunywa kahawa huku waki enjoy muonekano wa kisasa wajengo na kutizama bidhaa kwenye maduka ya kisasa then tuna wa peleka China, India, Thailand e.t.c. Sizani kama kuna mtu atataka apande Kq then akapitie kwenye terminal kuu kuu then apande ndege kuu kuu [emoji1]. Kama masikhara ila tuna enda kuwa na upper hand kwenye hili swala. Yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya hapo Terminal 3 linazinduliwa. Then tuna wachota watu kutoka Bujumbura, Kampala, Harare na Lusaka wana ingia kwenye terminal kubwa zaidi ya zote E.A wanakunywa kahawa huku waki enjoy muonekano wa kisasa wajengo na kutizama bidhaa kwenye maduka ya kisasa then tuna wa peleka China, India, Thailand e.t.c. Sizani kama kuna mtu atataka apande Kq then akapitie kwenye terminal kuu kuu then apande ndege kuu kuu [emoji1]. Kama masikhara ila tuna enda kuwa na upper hand kwenye hili swala. Yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni vitu vya kweli kabisa mapinduzi yakiuchumi ndiyo yashaanza sasa kila sector tunataka itawale Africa na dunia kwa ujumla....

So kwa suala la competition la hapa hapa east africa ndiyo tunajitoa mdogo mdogo tuwaache wajuaji wabaki na ujuaji wao ...kwenye mataa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya hapo Terminal 3 linazinduliwa. Then tuna wachota watu kutoka Bujumbura, Kampala, Harare na Lusaka wana ingia kwenye terminal kubwa zaidi ya zote E.A wanakunywa kahawa huku waki enjoy muonekano wa kisasa wajengo na kutizama bidhaa kwenye maduka ya kisasa then tuna wa peleka China, India, Thailand e.t.c. Sizani kama kuna mtu atataka apande Kq then akapitie kwenye terminal kuu kuu then apande ndege kuu kuu [emoji1]. Kama masikhara ila tuna enda kuwa na upper hand kwenye hili swala. Yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Huku wakijipanga kujibu pigo la terminal3, kitu cha msalato kinaendelea kujengwa
 
Kabla ya hapo Terminal 3 linazinduliwa. Then tuna wachota watu kutoka Bujumbura, Kampala, Harare na Lusaka wana ingia kwenye terminal kubwa zaidi ya zote E.A wanakunywa kahawa huku waki enjoy muonekano wa kisasa wajengo na kutizama bidhaa kwenye maduka ya kisasa then tuna wa peleka China, India, Thailand e.t.c. Sizani kama kuna mtu atataka apande Kq then akapitie kwenye terminal kuu kuu then apande ndege kuu kuu [emoji1]. Kama masikhara ila tuna enda kuwa na upper hand kwenye hili swala. Yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
I'm so excited man nchi yangu nzuri sana Tanzania is moving forward speed of mwanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom