Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

E296E0F6-3B39-4A22-A570-EE8F77386AE0.jpeg

E35B04CE-DA55-4378-A044-391D44496445.jpeg
 
jamaa nimempiga za uso.. sasa kaamua kusepa mazima. Na alivyomuongo anasema anamiliki magari zaid ya mbili zaid ya mulissa lkn posts zake huko zinaonesha maisha yamempiga vibaya mno
I can see you are in so much need of knowing me , right?hahaha! I can give you another page you access for your information you will never know my really identity .upo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyingine hii hapa
Hahaaa hawa jamaa wanavyozidi kukikataa Kiswahili ndivyo wanavyojizika kimuziki. Nmeona komenti zao hapo wanapiga Kiinglishi tuu utadhani Wazungu. Wakiongea Kiswahili kinakua kibaaaaaaaya kimechacha mnoo. Wakiimba kwa Kiswahili huwezi kuvutika kusikiliza kwa sababu ya ukakasi wa lugha mbovu isiyo na mvuto inayotumika. Yaani utadhani wanaimba Wasentinele. Cha kwanza ili waende sawa na Wabongo ki muziki wakitumie Kiswahili kindakindaki haswaaa ikibidi mwanamuziki mwenye kipaji aje aweke kambi Tz ya hata mwaka ajifunze Kiswahili chenye mvuto. Kuimba kwa Kiingereza hakuta watoa maana hata hiyo lugha siyo wabobezi kiviiile ili kutengeneza mistari ya kukubalika kidunia maana hiyo lugha ni ya daraja la juu la dunia na kuna ushindani mkubwa. Ili wawe juu kimuziki wanapaswa kuzungumza Kiswahili kizuri na wakienzi kuliko lugha yoyote ya mawasiliano ya kila siku kama Watanzania


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa hawa jamaa wanavyozidi kukikataa Kiswahili ndivyo wanavyojizika kimuziki. Nmeona komenti zao hapo wanapiga Kiinglishi tuu utadhani Wazungu. Wakiongea Kiswahili kinakua kibaaaaaaaya kimechacha mnoo. Wakiimba kwa Kiswahili huwezi kuvutika kusikiliza kwa sababu ya ukakasi wa lugha mbovu isiyo na mvuto inayotumika. Yaani utadhani wanaimba Wasentinele. Cha kwanza ili waende sawa na Wabongo ki muziki wakitumie Kiswahili kindakindaki haswaaa ikibidi mwanamuziki mwenye kipaji aje aweke kambi Tz ya hata mwaka ajifunze Kiswahili chenye mvuto. Kuimba kwa Kiingereza hakuta watoa maana hata hiyo lugha siyo wabobezi kiviiile ili kutengeneza mistari ya kukubalika kidunia maana hiyo lugha ni ya daraja la juu la dunia na kuna ushindani mkubwa. Ili wawe juu kimuziki wanapaswa kuzungumza Kiswahili kizuri na wakienzi kuliko lugha yoyote ya mawasiliano ya kila siku kama Watanzania


Sent using Jamii Forums mobile app
hata wakienda vyuoni wanawekeza mda wao katika kujua kuzungumza kingereza kuliko kuchota maarifa.
 
Back
Top Bottom