Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kijito baby👇👇👇
5477BB05-BCEA-4F4C-8960-1CACB270CF60.jpeg
 
Kabla ya hapo Terminal 3 linazinduliwa. Then tuna wachota watu kutoka Bujumbura, Kampala, Harare na Lusaka wana ingia kwenye terminal kubwa zaidi ya zote E.A wanakunywa kahawa huku waki enjoy muonekano wa kisasa wajengo na kutizama bidhaa kwenye maduka ya kisasa then tuna wa peleka China, India, Thailand e.t.c. Sizani kama kuna mtu atataka apande Kq then akapitie kwenye terminal kuu kuu then apande ndege kuu kuu . Kama masikhara ila tuna enda kuwa na upper hand kwenye hili swala. Yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kujali zaidi Air Tanzania watakuwa na lounge yao wao wenyewe ndani ya TB3.Baba ameamua kuwapendelea... Washindwe wao tu.
 
Hio angle matata sana , duh nilichelewa nilikua nimebanwa huko mwisho 🤣

This is what I got from my location


These taken with a phone


View attachment 991871


View attachment 991872

This is Dodoma


View attachment 991874


View attachment 991875


View attachment 991876


And these taken with a Camera ,to be processed later.


View attachment 991879


View attachment 991880


Huyu ni Mzee Baba

View attachment 991881


View attachment 991882


Noma sana


View attachment 991883




View attachment 991884



View attachment 991885


View attachment 991886


View attachment 991887





Sent from my iPhone using JamiiForums
We ni Mzalendo wa Kweli....!!!
 
Huu ndio mwaka wa kupanda treni ya umeme ,nitaenda Moro tu sitak kujua lengo la safari!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama ulikua kichwani mwangu mkuu, Ukiingia Room kwangu ukutani nimebandika Mambo 10 ambayo lazima nifanye mwaka 2019 na namba moja kati ya hayo ni kupanda treni yetu ya umeme kwenye ile safari yake ya kwanza kabisa ya Dar - Moro, Hata kama sina ishu yoyote huko moro lazima ntaenda tuu...
 
Ni kama ulikua kichwani mwangu mkuu, Ukiingia Room kwangu ukutani nimebandika Mambo 10 ambayo lazima nifanye mwaka 2019 na namba moja kati ya hayo ni kupanda treni yetu ya umeme kwenye ile safari yake ya kwanza kabisa ya Dar - Moro, Hata kama sina ishu yoyote huko moro lazima ntaenda tuu...
tupo wengi kumbe

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom