REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,918
- 14,896
Madeni madeni πππππππππππππ okoeni ndugu zetu ππππππππππππππ loan is loan and law is law
RIP mombasa port
ππππ Wanavyoona kila siku tunaweka projects za billions of dollars hawaamini, wanajiuliza tunawezaje wakati wao mradi wa mwisho waoujua ni SGR ya kitapeli ambayo mitungi yake ni ya chang'aa
Sisi ndani ya wiki tumeweka miradi ya kufa mtu ukianza na stieglers, hii 12 lanes, bado kesho Salander, Kesho kutwa ni kupokea Airbus zetu na bado ratiba inaendelea ππππ