tutaelewana tu.
wakenya siku zote wamekuwa wanajisifia kwa uwezo wao wa kuzungumza kingereza.
mara kadhaa nimekuwa nasema, kingereza ni lugha ya kimataifa, mzungumzaji yafaa aishi maisha yenye standard za kimataifa.
sio unajisifu kuzungumza kingereza ilhali huna ajira, unakaa katika makazi duni ya kibera na mathare na maisha yako kwa ujumla ni ya kuonewa huruma.
kwa tangazo hili la ajira, kuna wakenya wanajuta kuzaliwa wakenya. maana wengi hawana ajira.[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 971164View attachment 971165