komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Umetajiwa km atahamia kenyaDiamond unataman awe mkenya![]()
rudi mhumbili bro...unawaza kenya tu hata ukiwa chooni...

Umetajiwa km atahamia kenyaDiamond unataman awe mkenya![]()
rudi mhumbili bro...unawaza kenya tu hata ukiwa chooni...

Maskini...hapo umeelewaje kwn...hta akili zako pia hazina akiliAmber rutty ni mwanamke![]()
kapte muhumbili hyo kwanzaEti wana kiwanja 😊😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Aibu tupuView attachment 964216
Tutajie hyo miaka hapa na ushahidi...Dar mafuriko makubwa ni mitatu au minne iliopita ndio yalikua makubwa, nairobi kila mwaka

Hata wangeacha kuparticipate.Eti wana kiwanja![]()
'ita. . ita... ita...' as usualWakenya mmepitia hii homework?!!!😂 😂 😂 ooh mafuriko bonde la jangwani ni muda tu mkitaka kupata uhondo zaidi ingieni website ya World Bank-Tanzania.mtaoona pia mradi wa BRT 3 na 4.Mambo yakipikwa pikwa.
Thibitisha km hzo ni 25 km kutoka angani...rudi mhumbiliMore than 25km hio picha imepigwa sasa nairobi ipigwe more than 25km hakionekani kitu![]()

Mm nimezungumzia KTN umesema huikubali sawa![]()
asante kw kukwepa swali

Hongera zake, mwanamke wa shoka. Nadhani wako wengi wenye uwezo wa kusoma hiyo fani kama yeye ila waliamua kusoma vitu vingine walivyoona ni vya maana kuliko hiyo nuclear physics.Here she is.The first black female to attain a PhD in nuclear physics.
View attachment 964591
Eeh hii photo imeweza mbaya. Nairobi is a beautiful place.
Mombasa island....woow!!Masaki ni kubwa kuliko mombasaView attachment 964355View attachment 964356
Mombasa
View attachment 964357
Waaaw!!Aslay fell in love with the place and he has it in his latest videoView attachment 964218
Ambayo ni sehemu. Si kama Dar NzimaSisi hatutaki kujua chochote kuhusu kua kibera ni yanani tunaongelea about worse slums in nairobi yani ni makazi hata nguruwe hawezi kuishi
Leta link au leta ushahidi wa aliesema hayo manenoNi kweli deni la tz ni $2bln
Yani aindoke kwao alipozaliwq aliposimika mali zake aje kwenye failed state serious au munapenda vzr vya watu😂😂😂😂😂Umetajiwa km atahamia kenya![]()
![]()
![]()
rudi mhumbili bro...unawaza kenya tu hata ukiwa chooni...
![]()
![]()
![]()
![]()
Hio iliku mpira wa ufukweni ambao nyie hamkufuzu 😂😂😂😂Eti wana kiwanja 😊😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Vili nyie nlioshindwa 😂😂😂😂👏👏Hata wangeacha kuparticipate.
😂😂😂🤣🤣 Unalinganisha na hapa!??