Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siyo excuse lkn kama mnataka kujivunia mafanikio ya Kenya pia ni lazima tuwe na datas zote, kwamba ni Mafanikio ya Kenya + Muzungu + EAC, wakati Tanzania yetu hakuna Muzungu wala EAC kwenye equation!
Mzungu anaisaidiaje kenya?
 
Weka datas, acha blah blah halafu tulinganishe, Lami ambayo Tanzania tumejenga wenyewe na ile Kenya imejenga yenyewe ukiondoa Muzungu!

When you make a claim you provide the evidence yourself. You don't ask your opponent to do it for you.
 
Baba kua mpole sana tanzania ni kubwa sana mapori ni mengi sana tena hatuwez peleka roads kwenye mapori kutafuta nini??????? Kwaza tuna deal na sehemu wanazoishi binaadamu alafu huko ni project zitafuata
Good luck then
 
MTU anaeza nunua iPhone hakose bundles?
9cd57566d98c2649a8f51878cef73214.jpg
hahhahahahhahahhahahahahaha lmfao
 
hizo data analysis haziwezi kuingia kwa kichwa chako wakati usha corrupt ngoja nikuige kidogo kwa hili neno msee ushacorrupt inabidi tuku update kwani naona brain yako inashindwa kuzi install izo software
My friend nlikuja Tanzania last year kuinstall sage 300 na kufunza wenzenu 2 weeks wajue kutumia...so ikikuja kwa software nyamaza kabsa
 
My friend nlikuja Tanzania last year kuinstall sage 300 na kufunza wenzenu 2 weeks wajue kutumia...so ikikuja kwa software nyamaza kabsa
wew acha kuzingua umma aisee huna kitu cha kufunza watanzania na uache uwongo wa kitoto.....leta picha apa maana kwa wew jinsi ulivyo wa zamani lazima picha utakuwa umepiga
 
Back
Top Bottom