COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Ni ndogo kwa land size but economy hamuioniKenya Ni Ndogo sana kuliko Tanzania yani hizo compare wanazozifanya Ni sawa Na kuchukua Arusha,Mwanza,Dar, Kilimanjaro mbeya Na Morogoro.
Ni ndogo kwa land size but economy hamuioniKenya Ni Ndogo sana kuliko Tanzania yani hizo compare wanazozifanya Ni sawa Na kuchukua Arusha,Mwanza,Dar, Kilimanjaro mbeya Na Morogoro.
Wacha ungedere wako, economy gani wezi nyiye! Kulisha slums dwellers mnashindwa alafu eti economy! Economy unaijua wewe? Economy yenu inategemea slums hizo hapo...Ni ndogo kwa land size but economy hamuioni
Wakaaji haramu wote tunawafukuza bongo, wezi sana nyiye mangedere!Wewe ulisha form ka adebayo
Kwa Economy gani Sasa!!! Angalia sasa hivi Tumenza kuwakalia kiuchumi mmeanza Kuleta Migomo Mara hamtaki Gas Mara H amtaki madaktari wetu shame hamna na bado Tunakuja kwa kasi ya Kimbunga Tanzania sio Shamba La Bibi TenaNi ndogo kwa land size but economy hamuioni
mnafurahisha sasa......hivi uwa mnaropoka mmeipiku kenya mkitumia vigezo gani kama gdp hamtuoni wakati mko wengi kutuliko.plz ngojeni mkikuwa declared the economic giants of east africa ndio mjisifu...sio mara,,,tunakuwa kwa kasi ya kimbunga,,,oooh tumeamka,,,ooh tunajenga nchi,,mara tumewakalia kooni,,,,blah blah blah..tunajenga barabara....at the end of the day bado tuko mbele and the gap is increasing.hamchokiKwa Economy gani Sasa!!! Angalia sasa hivi Tumenza kuwakalia kiuchumi mmeanza Kuleta Migomo Mara hamtaki Gas Mara H amtaki madaktari wetu shame hamna na bado Tunakuja kwa kasi ya Kimbunga Tanzania sio Shamba La Bibi Tena
.."father G" the Golden Boy...
umeongea vizuri..tz is growing and so is kenya which is good for this region.ukweli ni kuwa hakuna aliye lala.Tanzania imejaribu sana kufunga pengo ya maendeleo baina take na Kenya. Shida ni Kama kufukuza mtu anayekimbia kasi Sawa na wewe ila tu kaanza mapema nawe saa nane mchana. Ni Kama kushindana na London. Majengo ya zamani lakini zatimiza sababu. Ni kweli newer is always better. Tazama miji midogo ya Kenya ndo Sasa zajengwa kweli. Swala LA slums... Wale wanaishi slums Nairobi wengi wana vyumba vya starehe vijijini. Wao wanahakikisha starehe baadaye. Tofauti ya Wakenya ni Kama Kwanza starehe baadaye. TZ ni starehe sasa Taabu baadaye
Jipe moyo hvo hvo naona unachekesha walionuna😀😀😀😀😀😀Tanzania imejaribu sana kufunga pengo ya maendeleo baina take na Kenya. Shida ni Kama kufukuza mtu anayekimbia kasi Sawa na wewe ila tu kaanza mapema nawe saa nane mchana. Ni Kama kushindana na London. Majengo ya zamani lakini zatimiza sababu. Ni kweli newer is always better. Tazama miji midogo ya Kenya ndo Sasa zajengwa kweli. Swala LA slums... Wale wanaishi slums Nairobi wengi wana vyumba vya starehe vijijini. Wao wanahakikisha starehe baadaye. Tofauti ya Wakenya ni Kama Kwanza starehe baadaye. TZ ni starehe sasa Taabu baadaye
Wewe uliisha kabsa hivoJipe moyo hvo hvo naona unachekesha walionuna😀😀😀😀😀😀
Bado mtoto sana kwangu nina mengi nikufundishe dogo kua mpole punguza wenge 😀😀😀😀😀😀Wewe uliisha kabsa hivo
Unaongea upuzi tu Mara mtoto mara mdogo...iyo ni sign ya kuisha form...mapicha ziliisha ama....zitafuteBado mtoto sana kwangu nina mengi nikufundishe dogo kua mpole punguza wenge 😀😀😀😀😀😀
You shut your mouth!mbeya, Tanga nazo ni majiji???? Just on Paper......