Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya has more quality of life than tz ukiniletea penye inasema the other way round tutaelewana wacha kujikinga na kibra
Mungekua na maisha mazuri musingekua na slums zinazotishia dunia acha kujidanganya ndugu😂😂😂😂😂
 
2018 bila old cbd mtaumia SanaView attachment 961964
Naona upper hill naona CBD naona westland
Haina tofaut na hii one pic nairobi nzima 😂😂😂😂👇👇👇
BFE26077-CA82-4B8F-A2CF-E4EF697DB07E.jpeg
 
60% of nairobi wako kibera how about other slums???? au wanaishi kondoo na nguruwe tu
Utaumiza kichwa sana kw elimu mbovu ya ccm...kula dose kwanza... usijali ukipona hapo muhumbili utakuwa discharged
 
Utaumiza kichwa sana kw elimu mbovu ya ccm...kula dose kwanza... usijali ukipona hapo muhumbili utakuwa discharged

Kwamba 60% ya wanairobi wako kibera swali linakuja vp kuhusu slums zingine wanaishi wanyama???😂😂😂
 
Please ukinioyesha kicc,I&m timestowers teleposta yaani moja tu unitag nahama huu uzi...naona manengo matatu ya cbd pale penbeni alafu unaropokwa nini

Nakuonesha hii hapa upperhill, westlnad pamoja na CBD one pic is enough😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇
ABB24953-74F3-4D38-85E1-B81BDE70173E.jpeg
 
Back
Top Bottom