Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mzungu sio mjinga
Sasa mkuru kayaba ni nyba za tope na tofali alafu bati juu..km hizi za dar..kisha unakataaa km dar is a slum city..kweli mjinga ni mjinga tu
8233534455_52f1c3ed23.jpg
3233304341_519bd494fc_z.jpg
 
Leo naona umekubaliana na mm km dar is a slum city...tofali km hz tena kibao.tena ziko zaidi ya hz...anyway mko kw denials.hapi kuna nyumba za tofali ila bado zinaitwa slums...lkn kule ldc mtu akiwa na uswazy houses unaona ni middle class..
3233304341_519bd494fc_z.jpg
 
Leo naona umekubaliana na mm km dar is a slum city...tofali km hz tena kibao.tena ziko zaidi ya hz...anyway mko kw denials.hapi kuna nyumba za tofali ila bado zinaitwa slums...lkn kule ldc mtu akiwa na uswazy houses unaona ni middle class.. View attachment 960717
Umepanic bila shaka 😂😂😂😂👏👏👏
 
Umesahau DMDP, Kajenge rd inapanuliwa, Akachube, mabatini, kwa mtogole, mawasiliano na nyingine kibao zina pigwa mkeka wa maana. Barabara ya Sinza inapanuliwa nakuwa na 4 lanes.
Nitajie za mwanza pia..
 
Siku kisumu au mombasa ikipata night club yenye hadhi hii munitag😂😂😂👇👇👇
Nitafunga account jamii forum

Club D arusha🥰🥰🥰🥰🥰
46D0E756-27F2-40D1-8148-3E9CF87724E9.jpeg

C3F91081-6906-4057-A67F-3A46F1A53208.jpeg
47B2DEAF-5AE7-456E-961F-9D8C9C34565A.jpeg
05CB116F-55B0-4E98-A083-5395826702B7.jpeg
B829AE76-B998-4A81-8FA1-E95256195B2F.jpeg
39FF9283-BF89-4050-A4DC-BCAFE5D6B922.jpeg
7FD21A4A-07A3-450B-AB6D-32C23C08488A.jpeg
79693B09-13C2-4CD5-8335-A17136FB6989.jpeg
 
Back
Top Bottom