Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lol. Dar haiwezi kuwa na foleni kwa ajili watu wachache sana wanamiliki magari. Hata nchi zilizoendelea kuna foleni pia.
Look..... Australia and RussiaView attachment 955401View attachment 955402
Aisee acha uboya kwan foleni za magari ndio maendeleo? Dar ilikuwa na foleni kali sana miaka iliyopita lkn kila siku inatafutwa namna ya kupunguza tatizo... siku hizi watu wanaacha magar kimara na mbezi wanachukua BRT na mambo yanakuwa smooth... pambaneni na hizo foleni zenu, solution sio kupanua barabara maana wote mtakutana pale junction foleni kubwa itaanza.... tafuteni barabara zaidi watu wasitegemee moja sasa hapo laja swala la ardhi.... majib mnayo
 
What the different btn Toyota Harrier and Lexus!?
Lexus is a luxury version of toyota..unadhani lexus zote zinakaa harrier?..lexus zingine hukaa kama prado,zingine ni sedan..yani ukiuliza swali kama hii exposure yako iko chini tena sana
 
Aisee acha uboya kwan foleni za magari ndio maendeleo? Dar ilikuwa na foleni kali sana miaka iliyopita lkn kila siku inatafutwa namna ya kupunguza tatizo... siku hizi watu wanaacha magar kimara na mbezi wanachukua BRT na mambo yanakuwa smooth... pambaneni na hizo foleni zenu, solution sio kupanua barabara maana wote mtakutana pale junction foleni kubwa itaanza.... tafuteni barabara zaidi watu wasitegemee moja sasa hapo laja swala la ardhi.... majib mnayo
Watapata tabu sana
 
1543944787677.png
 
Back
Top Bottom