Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu tufanye kitu kimoja.....wakenya tunahitaji kuona ama mtuonyeshe mafanikio ya wanariadha wenu...wanaonyakuaga almas n.k...hebu mkuje mtuonyeshe

Tukianza na huyu kipochoge a.k.a wanjiru wa mathare bila shaka anaonekana ni mtu wa dhiki
images (1).jpeg
 
So? Sasa ulikua unataka akue mrembo ama? We kwani ni Shogha? Nini? Men don't make such remarks on other men. I thought Magufuli alifukuza mashoga wote Tz kumbe wengine wamejifichia huku
nipatie teagass na janerose waje wakupe matokeo situmii vumbi la congo ila moto watakusimulia kila goli na mimba
 
So? Sasa ulikua unataka akue mrembo ama? We kwani ni Shogha? Nini? Men don't make such remarks on other men. I thought Magufuli alifukuza mashoga wote Tz kumbe wengine wamejifichia huku
nipatie teagass na janerose waje wakupe matokeo situmii vumbi la congo ila moto watakusimulia kila goli na mimba
 
phase ilijengwa na germany company phase 2 inajengwa na chinnese company

Wabongo sisi si watu wazuri aisee yaani tumewatangulizia german kwanza ili hawa wachina waje na tahadhali kubwa kwa kujifunza mambo kupitia changamoto kutokea kwa wagerman...

Hakika hiki ni kipimo sasa inabidi wajidhihilishe kama wao ni bora au si bora
 
Back
Top Bottom